Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Kama wananchi hawajui haki zao dawa yao ni kuwabambika kodi zaidiMnyororo wa rushwa ni mrefu sana.. Senior officers/Managers wa leo walikuwa juniors miaka 10 iliopita..vivo hivyo Commisdioners na deputies..
Chukua chako mapema.. Mfumo wa kulindana mwanzo mwisho..
Mabadiriko yanawezekana..Hakuna lisilowezekana
DuhTRA waongeze kiwango cha kodi mpk tupate akili
Hata ukikosoa kwani wana sikia?Duh
Wenye ufahamu ni wakati wa kufanya maamuzi ya kuingia kwenye Ulingo wa kuijenga nchi kupitia vyombo vya maamuzi..
Lakini Kwa uzalendo mkubwa tusisite kukosoa na kushauri Kwa stays kupitia majukwaa Kama haya..
Hatupaswi kuishia kulalamika kwenye mitandao na kuwaachia wasio na uwezo wa kuona mbali (Waliochoka kifikra,mbinu) wakifanya maamuzi au kutunga sheria wasizojua athari zake Kwa Taifa na kuishia kudumaza maendeleo endelevu..
Kama wananchi hawajui haki zao dawa yao ni kuwabambika kodi zaidi
Shida ni nani wa kumfunga nani kengere,kila mtu anataka green light katika maisha,kila mtu anataka maisha murua,Kazi iendeleeTRA ivunjwe ibaki halmashauri
Hata ukikosoa kwani wana sikia?
Shida ni nani wa kumfunga nani kengere,kila mtu anataka green light katika maisha,kila mtu anataka maisha murua,Kazi iendelee
TRA wanaweza nifanya nikatoa hela yangu kwenye uwekezaji bongo, niende nikatafute maisha hata Zambia mwakani
Ikiwa kuna mtumishi TRA haweki chake kwanza na mapato ya serikali baadae basi labda itakua ni asilimia moja tu..
Na kuna mfumo wa walaji wanashirikuana kuto chini hadi ngazi ya juu wako kazini kugawana chao.
Huwa sipati jibu hawa TAKUKURU nini wanafanya? Ikiwa mambo ya rushwa na ubadhirifu uko wazi hivi
Umeongea vyema, TRA ni wavivu kwa kutoongeza wigo wa wafanyabiashara badala yake wanawagagania walewale wa miaka nenda miaka rudi mfano ni lini uliona wamiliki wa shule wanalalamika kuhusu kodi, je kipato chao ni kidogo? Je ni lini uliwahi kuona wamiliki wa gereji wanalalamika kuhusu kodi je kipato chao ni kidogo? Wapo wajasilia mali kibao wa hivyo lkn hawaguswi na TRA badala yake utagaganiwa wewe uliyefungua kifrem cha nguo au stationery au kiduka flani ndio unaonekana unahela nyingi.Wafanyabiashara na wenye viwanda wanapaswa kulipa kodi stahili kwa uhai wa Taifa letu.
Kodi zinazolipwa zinapaswa kutumika vema,Kulindwa na kusimamiwa vema na si kufujwa.
Mchakato wa kukusanya kodi stahili unapaswa kufanyika kwa kuzingatia uhalisia wa kibiashara na kulinda mazingira bora ya uendelezaji wa biashara.
Wigo wa walipa kodi bado ni mdogo mnoo ukizingatia idadi ya raia wa nchi ama wanufaika wa matunda husika.
Tunakopa kufadhiri miradi lukuki..Tutalipa,Lazima tulipe..Kwa miaka mingi ijayo..Lazima tukuze shughuri mbalimbali za kiuchumi sasa na baadae..
Hatupaswi kuua biashara kwa msingi wa kukusanya mapato ili kuvunja rekodi..Hatupaswi kunyanyasa wafabiashara na wenye viwanda kwa kivuli cha kufurahisha wanasiasa..Hatupaswi kuziba masikio lundo la biashara likifa kwa sababu ya ukatiri wa maafisa kodi..
Dunia inapita ktk changamoto nyingi za kibiashara kimataifa..Tujifunze na kuchukua hatua stahiki kuchukua hatua stahiki kulinda sekta binafsi na wenye viwanda..
TUACHE:-
UBABE
KIBURI
DHARAU
UKATIRI