Mshamba wa kusini
JF-Expert Member
- Jun 30, 2015
- 2,857
- 3,593
Hata wewe unamaanisha?Mwanamke akishakuwa kwenye mitandao ya kijamii siyo bikra tena.
Tangazo lako umekosea pa kuliweka.
Anaweza kuwa na bikra moja ila jamaa anataka zote ili azitindue yeyeMwanamke akishakuwa kwenye mitandao ya kijamii siyo bikra tena.
Tangazo lako umekosea pa kuliweka.
Kabisa yaniAsiwe na Instagram wala Facebook.
Kwahiyo na wewe imepopolewa vya kutosha???Mwanamke akishakuwa kwenye mitandao ya kijamii siyo bikra tena.
Tangazo lako umekosea pa kuliweka.
Soma kwanza hilo boom lisikudanganye ukadhani ndoa itaenda bila fedha.Habari
Natafuta Mke ambaye atakuwa tayari kuishi na Mimi marekani, sichagui kabila wala dini Bali ningependa mwanamke huyo awe na sifa zifuatazo :-
1.awe msafi
2.awe mrefu kiasi
3.awe na chura
4.elimu kiasi
5.aweze kuongea kiingereza
7.awe mkweli
8.awe bikra(kote)
9.asiwe mlevi
10.awe amesoma masomo ya sayansi
11.asiwe na Instagram wala Facebook.
12.awe na experience ya kazi katika taasisi yoyote ya kiserikali isiyopungua miaka mitatu
Mkuu tulishamalizaga kusomaSoma kwanza hilo boom lisikudanganye ukadhani ndoa itaenda bila fedha.
Hotel menagment engineering UDSM
Hotel menagment engineering UDSM - JamiiForums
Yamekuwa hayo tenaElectrical engineer pentagon guest house Njombe
Ulianza kusoma hotel management Udsm 2017.Mkuu tulishamalizaga kusoma
Hahahahhaaa.Asanteni endeleeni kuja pm ....naona muitikio umekuwa mkubwa
Huyo jamaa dem/mke wake kazi anayo,Ulianza kusoma hotel management Udsm 2017.
Kuna kozi ya kusoma mwaka mmoja Udsm?
We unadhani Jamiiforums ni kama Facebook?
Mwaka jana ulikua unasoma Hotel Management cha kushangaza mwaka huu umehitimu Electrical Engineering na unafanya kazi Pentagon [emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo jamaa muongo sana alafu anasahau mapema sanaHuyo jamaa dem/mke wake kazi anayo,