Ubadhirifu unaofanywa mbele ya picha ya Rais ni sawa na kumtukana na kumng'ong'a Rais ukimuangalia usoni

Ubadhirifu unaofanywa mbele ya picha ya Rais ni sawa na kumtukana na kumng'ong'a Rais ukimuangalia usoni

sifi leo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2012
Posts
5,182
Reaction score
8,948
Kila niamkapo sikosi jambo la kuandika hapa jf, unawesa patwa na hisia labda kila nikilala huwa niota au la?

Najiuliza hivi wanaofanya ubadhilifu wa fedha za umma katika ofisi za umma uwa wanaiangalia picha au kuitizama picha ya Mh. Rais wetu kweli? Kama wanaitazama hawajui kama anawaona ?hivi Huwa hawashutuki?

Kama picha ipo na mnaitizama na kuishia kumuibia si ni sawa na kumg'ong'a mama wa watu? Hivi wewe unaemg'ong'a, watu uking'ong'a mama yako utajiskiaje?

Mathalani tunaposaini mikataba mbele ya Rais, halafu baadae mkataba unaoneshwa una mapungufu unajiskiaje?

Natambua kuna sheria ya kuweka picha za Pais maofisini, tafadhali nashauri bunge libadilishe sheria hii watu waweke picha za baba zao na mama zao maofisini kwao ili wanapokuwa wanafanya wizi huo basi wawe wanawatazama ma kuwang'ong'a baba na mama zao.

Nina wasi wasi mkikubaliana na mimi wizi utakuwa unafanyikia chooni na sio maofisini.

Naomba kuwasilisha.
 
Moderator edit kichwa cha habari nmeshindwa tafadhali.
 
Wanafanya ubadhilifu na kupiga pesa sababu wameruhusiwa. Nawashauri wakisha piga dili likafanikiwa wanatakiwa kuichukua ile picha kwa upendo wadhati kabisa kuibusu kidogo na kuikumbatia na kusema asente mama kazi iendee maana mama yupo kazini.
 
Wanafanya ubadhilifu na kupiga pesa sababu wameruhusiwa. Nawashauri wakisha piga dili likafanikiwa wanatakiwa kuichukua ile picha kwa upendo wadhati kabisa kuibusu kidogo na kuikumbatia na kusema asente mama kazi iendee maana mama yupo kazini.
Kizai zai
 
Inasikitisha sana...

Ni sawa na kumsaliti mtu huku muda huo huo ukiwa unaongea kwenye simu...
 
Kila niamkapo sikosi jambo la kuandika hapa jf, unawesa patwa na hisia labda kila nikilala huwa niota au la?

Najiuliza hivi wanaofanya ubadhilifu wa fedha za umma katika ofisi za umma uwa wanaiangalia picha au kuitizama picha ya Mh. Rais wetu kweli? Kama wanaitazama hawajui kama anawaona ?hivi Huwa hawashutuki?

Kama picha ipo na mnaitizama na kuishia kumuibia si ni sawa na kumg'ong'a mama wa watu? Hivi wewe unaemg'ong'a, watu uking'ong'a mama yako utajiskiaje?

Mathalani tunaposaini mikataba mbele ya Rais, halafu baadae mkataba unaoneshwa una mapungufu unajiskiaje?

Natambua kuna sheria ya kuweka picha za Pais maofisini, tafadhali nashauri bunge libadilishe sheria hii watu waweke picha za baba zao na mama zao maofisini kwao ili wanapokuwa wanafanya wizi huo basi wawe wanawatazama ma kuwang'ong'a baba na mama zao.

Nina wasi wasi mkikubaliana na mimi wizi utakuwa unafanyikia chooni na sio maofisini.

Naomba kuwasilisha.

Yaani watu wamuogope rais kwani yeye mwenyewe ni muadilifu? Viongozi wanaoingia madarakani kwa kupora chaguzi wana uadilifu gani?
 
Back
Top Bottom