kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Kwanini serekali wanatumia nguvu nyingi kubagua sisi watu ambao tumetoka katika mikoa ya waswali.
Yaani kukitokea mtu yeyote ambaye ametoka katika mkoa wa waswali na akawa mpinzani anapewa uraia wa nchi nyingine.
Kila mpinzani ambaye anatoka kwenye mikoa ya waswahili kwa mujibu wao sio mkongo halisi
Katumbi = Zambia (Katanga)
Fayulu =Senegal (Nord Kivu)
Vital= burundi (Sud Kivu)
Muzito = Tanzania (Sud Kivu)
Matata mponyo =Tanzania ( maniema)
George = Kenya (maniema)
Joseph kabila = (katanga)
Tukutane 2024 alafu kusiwe uchaguzi ndo watajua kama tuna tafuta sababu ya kujikata na huu upumbavu wa kubagua watu
Si wanajiona wao wasema lingala ndo wakongo halisi?
Yaani kukitokea mtu yeyote ambaye ametoka katika mkoa wa waswali na akawa mpinzani anapewa uraia wa nchi nyingine.
Kila mpinzani ambaye anatoka kwenye mikoa ya waswahili kwa mujibu wao sio mkongo halisi
Katumbi = Zambia (Katanga)
Fayulu =Senegal (Nord Kivu)
Vital= burundi (Sud Kivu)
Muzito = Tanzania (Sud Kivu)
Matata mponyo =Tanzania ( maniema)
George = Kenya (maniema)
Joseph kabila = (katanga)
Tukutane 2024 alafu kusiwe uchaguzi ndo watajua kama tuna tafuta sababu ya kujikata na huu upumbavu wa kubagua watu
Si wanajiona wao wasema lingala ndo wakongo halisi?