mohame kholani
Senior Member
- Jan 1, 2018
- 145
- 103
Watu wenye magari makubwa kama VX V8 na Range Rover wanauziwa property magazine zenye taarifa za apartments na nyumba zinazouzwa.
Watu wenye gari ndogo kama IST, Probox, Vitz, Premio, n.k. wanauziwa korosho, weipa, jumper cables na alfabeti za watoto.
Watu wa daladala wanauziwa sumu ya panya mende viroboto sisimizi na mitego ya panya.
Na pia kwenye daladala wanapewa vipeperushi vya Waganga wa nguvu za kiume, ukimwi nk
Wenda kwa miguu wanaletewa dili za dhahabu kwenye kichupa; au bahasha ya kaki unaambiwa ina hela mtu kadondosha; au smartphone kali unaambiwa lete elfu 30 tu.
Nime copy sehem
Watu wenye gari ndogo kama IST, Probox, Vitz, Premio, n.k. wanauziwa korosho, weipa, jumper cables na alfabeti za watoto.
Watu wa daladala wanauziwa sumu ya panya mende viroboto sisimizi na mitego ya panya.
Na pia kwenye daladala wanapewa vipeperushi vya Waganga wa nguvu za kiume, ukimwi nk
Wenda kwa miguu wanaletewa dili za dhahabu kwenye kichupa; au bahasha ya kaki unaambiwa ina hela mtu kadondosha; au smartphone kali unaambiwa lete elfu 30 tu.
Nime copy sehem