Savage Dad
JF-Expert Member
- Jul 10, 2018
- 1,388
- 2,611
Habar zenu wanajamii leo nimeona nilete hili jambo kwenu nyinyi kwasababu limekua likijitokeza sana kwenye utaftaji wa rizki katika shughli zetu,Kwanin sisi kama watanzania hatuwi pamoja katika shughli zetu za kikazi kwasababu nilichokiona huku kwetu sehem nlokua nikifanya kazi nilifukuzwa kazi mim na wenzangu kwasababu tu anatokea mtu kusema wazanzibar hatuwez kazi kisa yeye yuko katika nafasi ya juu na kumbe huu ubaguzi bado tunao na utaisha lini?