Ubaguzi South Africa: White Vs Black women debate

Rich Dad

JF-Expert Member
Joined
Dec 15, 2010
Posts
748
Reaction score
135
Jamaa alianza kwa kuomba opinion kama hivi ( bila shaka huyu jamaa ni black)


Soma majibu ya makaburu wakizungu hapa chini:






"The Ventriloquist"]What is it with these kaffirs and there "big" dicks when they feel they have lost the fight????
Is there dicks the only weapon they have????


Hapa naona black mmoja akajibu mapigo:

"Field Negro"]<quoted text>Black women are the best! I 've been hit on by pretty white women. But I would never date one. I'm a successful lawyer in a mostly white neighborhood. I could have a white skank but I don't want one!


Mnaweza kuendelea kujisomea wenyewe kwenye hii site hapa chini:

m.topix.com/forum/world/south-africa/TBDA7RBRF5BKITF6V
 
Hivi who the hell said racism itakuja kwisha?? Sad...

Hapa tu bongo kaka/baba zetu wanachanganikiwa na wadada wenye light skin, kuliko mwenye rangi nyeusi.
 
Afrika ya Kusini bado ni divided nation. Ubaguzi umekwisha on paper, lakini katika maisha ya watu upo unaonekana kabisa. Ukiwa ktk jimbo la Western Cape ambalo ndilo lenye weupe wengi nadhani, ubaguz mpaka leo upo. Ktk weusi wanaona uhalifu, uombaomba, uvivu, ukimwi nk. Inasikitisha unapoona hata ubaguzi ukifanywa na watu weusi wenzako. Mathalan, hapa nilipo ktk taasisi fulani, mweupe na mweusi, hata muwe mmeongozana, utaona unapoingia ama kutoka getini, mweusi unakaguliwa. Ama wote mkikaguliwa, utaona muda unaotumika kukukagua ni mrefu na kwa makini zaidi kuliko mweupe. Hapa unakaguliwa na walinzi weusi. Shida bado ipo tu. Kuna wazungu hapa huwa wanatamka wazi kabisa kuwa wanamiss apartheid. Shida bado ipo.
 
Ubaguzi uliumbwa na Mungu mwenyewe kwa kuamua kuwe na watu tofauti kwa rangi na muonekano hivyo hauwez kwisha kirahisi na bahati mbaya sote tu wabaguzi ila tunatafautiana kiwango tu.


Bazazi ni Bazazi!
 
Ubaguzi uliumbwa na Mungu mwenyewe kwa kuamua kuwe na watu tofauti kwa rangi na muonekano hivyo hauwez kwisha kirahisi na bahati mbaya sote tu wabaguzi ila tunatafautiana kiwango tu.


Bazazi ni Bazazi!

Kwa hiyo wewe kuwa mweusi unahisi kuwa Mungu kakubagua???? unapenda kuwa mweupe!!!!!!

Kujidharau kwako na kutojithamini ndio chanzo cha kubaguliwa......Kweli ww Bazaaaaazi na #%#$#%&%#*
 
Marekani kwenyewe ubaguzi bado haujakwisha with all the fantasies
 
Kwa hiyo wewe kuwa mweusi unahisi kuwa Mungu kakubagua???? unapenda kuwa mweupe!!!!!!

Kujidharau kwako na kutojithamini ndio chanzo cha kubaguliwa......Kweli ww Bazaaaaazi na #%#$#%&%#*
Boflo aka BWABWA, usikurupuke kujibu kwa nia ya kujibu maatokeo yake ni kujionesha jinsi ulivyo na upeo mdogo wa kufikiri (Naamini kunatokana na tabia yako ya kupumuliwa kisogoni). Mimi sijasema Mungu amewabagua weusi.Nilichosema watu wote tu wabaguzi bila kujali rangi/muonekano wetu.

Ndimi Bazazi!
 
Last edited by a moderator:
Binadamu tuna safari ndefu sana!
 
Ubaguzi uliumbwa na Mungu mwenyewe kwa kuamua kuwe na watu tofauti kwa rangi na muonekano hivyo hauwez kwisha kirahisi na bahati mbaya sote tu wabaguzi ila tunatafautiana kiwango tu.


Bazazi ni Bazazi!

Kabla hujabwajaja na ubazazi wako... unakana kumhusisha Mungu na Ubaguzi....hapo umeandika nini ....??

Chokochoko mchokoe pweza....Boflo hutomweza!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…