Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Offcourse,ni suala la muda.Meza itapinduliwq siku sio nyingi,tujiandae kwa serikali moja,atakayepinga ajiandae kwa lolote.
zanzibar kuna wasukuma wanyamwezi makondo ndegereko zalamo digo bomdei nk tena ni wengi sana huko basi hao ndio wanao wabagua mnapo kwenda hukoHawa ndugu zetu wa visiwani washajua kuwa tunawakumbatia sana ndio maana kujishugulisha hata kielimu washaona tu mtawapa nafasi zao ajira bakini nyie wa bara someni mpaka mkome.
Kama tutaendelea kuwabembeleza nao hipo siku watatueleza wazi kwamba tuachane nao.
Inanishangaza kwenye nafasi za kazi kwao lazima kuwa mzanzibari ila kwetu ni tofauti na anapangiwa mpaka kwenye halmashauri.
ndio kusema wasukuma wanyamwezi wamakonde wandengereko wazalamo wabondei walioko zanzibar ndo mbwa au unakusudia nn?Tunarubuniwa na sauti zao tu ndyo maana wanatupanda vichwani hawa mbwa[emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani kiufupi kama wana ubaguzi wa aina tajwa hapo juu waitwe hivyo tu,au upo huko na una tabia hyo?ndio kusema wasukuma wanyamwezi wamakonde wandengereko wazalamo wabondei walioko zanzibar ndo mbwa au unakusudia nn?