Ubakaji ndani ya ndoa!

Nawashukuru kwa michango ya mawazo yenu. Kumbe, kumbaka mwanandoa ni mpaka yakosekane maelewano na ambalo haliwezithibitishwa vyepesi! Ahsanteni sana.
 

Utakuwa mswada wa kishenzi, ikishakuwa ndani ya ndoa hakuna ubakaji ndo haki, wanaelekea kubaya kabisa. Inatia kichefuchefu. Utaifuatiliaje ndoa ya watu Wanataka kuwavuruga watu na familia zao bure.

I dont like it very bad and unacceptable!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…