Tatizo siyo umaskini bali tatizo ni imani potofu. Siku hizi ''wajanja'' wanaotumia propaganda za uchawi, miujiza na uganga wameachiwa wawalaghai wananchi kwa kuwalisha imani za uongo. Ukiingia YouTube kuna hizi online TV zinazofundisha imani potofu na serikali inawaachia tu.