S. S. Phares
JF-Expert Member
- Nov 27, 2006
- 2,138
- 85
Hao wanaojiunga na CCM ughaibuni ni ndugu, jamaa na watoto wa mafisadi wa huku nyumbani. Ndiyo wanafaidika na matunda ya ufisadi na kutusababishia dhiki huku nyumbani. Wanaweka insurance kuhakikisha bomba halikatiki au kuzibwa. CCM sasa hivi ni kama malaya. Iko tayari kulala na yeyote ilimradi kuna ana mshiko.wakuu habari hizi zinanisikitisha sana. Kama tumeanza kuhalalisha shughuli za kisiasa nje ya nchi tutakuwa tujatigea bomu ambalo siku likilipuka tutakuwa hatuana wa kimlaumu. I wonder kama sheria za UK zinaruhusu mambo kama hayo, na iwonder kama waingereza wanaruhisiwa kuwa wanachama wa CCM na kuichangia CCM (watanzania waliojilipua ni waingereza, na baadhi yao ndio waanzishaji na wachangiaji wa matawi hayo).
Who will have balls to point fingers at CUF kwa kuanzisha matawi Afghanstan, Yemen na Pakistan. Who will point fingers at CUF if funded by hizbulah and Mujahdeen? Nashangaa sana kusikia watu wenye vyei vya juu sana CCM wanafanya mambo ya ajabu, na ssi wengine tunachekelea.
Hao wanaojiunga na CCM ughaibuni ni ndugu, jamaa na watoto wa mafisadi wa huku nyumbani. Ndiyo wanafaidika na matunda ya ufisadi na kutusababishia dhiki huku nyumbani. Wanaweka insurance kuhakikisha bomba halikatiki au kuzibwa. CCM sasa hivi ni kama malaya. Iko tayari kulala na yeyote ilimradi kuna ana mshiko.
Kama kawaida yetu Watanzania, watu wanatumia haki yao ya kikatiba na katiba ya chama chao; ninyi mnakaa hapa kuwajadili. Kama nyie sio wana CCM, inawasumbua nini hao CCM wakiamua kuwa na Matawi hata mpaka mwezini?
Hii ni Siasa (ni hiari kuwa au kutokuwa mwanasiasa au mwanachama wa chama chochote), kama hamuwezi kusimama pale mlipo mkahesabiwa hamna haki ya kukosoa wengine.