Kwa hiyo wewe ambae una cha maana ,cha maana chako ni hiko chA kusema kuwa Marekani hakuna Corona ?verified IDs wote huwa hamna la maana la kuandika humu.
Raia gani?Unajua ni kwanini raia hao hawataki kurudi nyumbani kuungana na familia zao?
Sent using Jamii Forums mobile app
Jibu ni kuwa hakutakuwa na usafiri wa kutoka Africa siyo kwamba marekani Hakuna corona. Hivyo basi mwenye haraka zake ajipange kuondoka haraka. Lakini hawajasema kuwa kwao ni SalamaUbalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
Mpaka sasa hakuna taifa linalojitambua mbele ya Corona
Kama wanatibiwa kwa uhakika hao 1,300 waliokufa ilikuaje wasipone?Bora waende makwao mapema, hata wakiumwa wanaeza kutibiwa kwa uhakika.Hapa sie tumeambiwa tuchape tu kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Leo watu 400 wamefariki marekaniMpaka sasa hakuna taifa linalojitambua mbele ya Corona
Bora waende makwao mapema, hata wakiumwa wanaeza kutibiwa kwa uhakika.Hapa sie tumeambiwa tuchape tu kazi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Aisee!Huu ni uthibitisho tosha kuwa corona Marekani haipo, au uenda kuendelea kubaki Tanzania ni hatari zaidi ya kuwa na ugonjwa huu ukiwa united state of american
Linajitambua kivipi mkubwa? Unajua kuwa hali ya Marekani ni mbaya kuliko Tanzania kwenye upande wa maambukizi na hatari ya kuambukizwa? Cha muhimu ni kuwa kama wameamua kwenda waende, watajua wenyewe. Sasa hivi Marekani ni nchi iliyojaa virusi kuliko hata CHina, na baada ya wiki tatu watakufa zaidi kuliko hata Italia. Kujitambua kupi huko?
Wapi wameandika "must"?Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.
Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Tumia zako Maabara moja tena ipo DarTupe picha za wagonjwa ulizonazo, ama takwimu uliyofanya.
BBC News - Coronavirus: Lack of medical supplies 'a national shame'Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
Wabudu wazungu bwana mna kazi sana..nani kafa na korona Tz hadi sasa...yani marekan kwa bongo kila kitu huwa inajifaraghua faraghua yani ilimradi ...balozi aliopo kwa sasa bongo seems ni mtu wa kiki na beef za.Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.
Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Hofu ya US juu watu wao waliopo Afrika siyo mambukizi kwa sababu mambukizi hata kwao yapo.Ubalozi wa Marekani nchini Tanzania umetoa wito kwa raia wake kurejea Marekani, kufuatia uwepo wa maambukizi ya virusi vya #COVID19
Ubalozi umewataka raia wake wote wanaotaka kuondoka kufanya hivyo mapema kutokana na mashirika mengi ya ndege kusitisha safari. Umesema, hadi kufikia Machi 29, 2020 Shirika la Ndege pekee litakalokuwa na ndege za kutoka nje ya Tanzania ni Shirika la Ethiopia
Ubalozi huo umesema kwa sasa haushughuliki na kuwatoa raia hao nje ya Tanzania kuwarudisha Marekani, ila kama hatua hiyo itafikiwa umewataka wale wote watakaotaka kutafutwa na Ubalozi huo kutuma taarifa zao muhimu za utambulisho
Hadi sasa Marekani ambayo ndio nchi yenye maambukizi mengi zaidi, ina jumla ya maambukizi 85,594 yaliyorekodiwa na vifo 1,300
Kweli ni wapumbavu wanataka kwenda marekani kwenye baridi hawajui covid inafanyakazi vizuri kwenye baridi kinacho nusuru Tanzania ni joto KaliWapumbavu hawa wamarekani
Upumbavu wao ni kuwaza kuondoka tz kwenye joto Kali linalo zuia covid kuleta madhara makubwa na kuwaza kwenda USA kwenye baridiUpumbavu wao ni nini?
Sent from my iPhone using JamiiForums