Habari zinazotolewa na Marekani huwa tunaita Western propagandaCorona haipo Marekani?? Are serious mkuu? Mpaka sasa wameipiku China kwa visa vingi.
Na kuna vifo zaidi ya 1000 wewe unasema corona haipo Marekani, au ndo wazee wa conspiracy theories.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachofanya ni kuzuia lawama watu wao wakihitaji evacuation, maana imebaki ndege moja tu! Hawataweza kuja kuwafanyia evacuation plan (kuwaletea ndege binafsi) ili iwaondoe, so wanawakumbusha kama ni kuondoka waondokeWapumbavu hawa wamarekani
tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe ,yani kwetu bhana kuna wataalamu wa magonjwa mengi sana,kiujumla wataalamu wa kila kitu,hadi muuza machungwa katumia fursa.Kwani kwetu huwezi kupata maji ya moto ukaweka kipande cha limau ukanywa au ukala machungwa kwa wingi,sema wenzetu ni wavivu wa kula matunda!!!!
Waharakishe wawaondoe Marekani wote wanaokuwa nchini, pamoja na maofisa wote kabisa wa ubalozini, ambao wengi ni majasusi. Na Tanzania isiruhusu Mmarekani yo yote kuingia nchini mpaka hapo kitakapoeleweka. Wangojwa wa corona nchini kwao ni mara kadhaa ya idadi ya wagonjwa walioko Tanzania. Sasa Tanzania imekuwa nongwa.
huu ni uthibitisho tosha kuwa corona marekani haipo, au uenda kuendelea kubaki tanzania ni hatari zaidi ya kuwa na ugonjwa huu ukiwa united state of american
Unajiaibisha!!Mungu wabariki Wazungu
Wamesisitiza Kabisa kuwa Must return to US now. Na hii wameitangaza leo ila walishaanza kuwalazimisha raia wake waondoke Tanzania. Huu ugonjwa ni hatari halafu imagine uupate ukiwa Tanzania where our medical system is very poor. Hata kama ni mimi nina option ya kuondoka I will surely do so.
Something is not right somewhere.... Only great thinkers can understand.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Aelewe wapi ndugu..... HAJAELEWA KITU HAPO!Hili tangazo umelielewa?
Sijawahi kuona askofu yeyote akiaibika kwa kuwaombea baraka wengineUnajiaibisha!!
Yaani maoni yenu Ni kutamani Corona ilete athari Tanzania! Wapinzani wa namna hii Ni halali hata kuwapokonya uhuru!Corona itapiga kambi hapa
Swadakta !akili zingine za kijinga sana. Marekani haisemi kwamba kwao hakuna Corona. Wanachosema watu wao warudi kwao ambako itakuwa rahisi kuwahudumia.
wanaogopa mipaka ikifungwa na hali ikawa mbaya kwao wakiwa Tanzania itakuwa mgumu kuwasaidia.
wakati wa majanga unataka familia yako irudi nyumbani kwako ambako unaweza kuwasaidia.
Hivyo ndivyo nchi zinazojali watu wake hufanya.
Labda wameona hatuko serious na ugonjwa wa corona, wakati mwingine tunaingiza siasa.
Akili zenu sijui zina ulanzi!! Mungu unampa kazi ya kubariki wazungu bila sababu za msingi.Mungu wabariki Wazungu
Yes. "The US Embassy encourages ALL Americans to return to United States NOW"Hili tangazo umelielewa?