Mama yake angekua Wema Sepetu ndio tungekuwa na wasiwasi.Huyu tiffah atakua Kama Lulu, mpaka anafika umri Wa kuvunja ungo tutasikia mengi, mingy amuepushe na mabazazi watakaokuwepo enzi zijazo
Songea ulihama?
ππ
Mkuu siku hizi kwa Mtogore mnapaita Antlanta?watu wenye masifa kama diamond ndio wanafilisika vibaya,,wenzake akina P Square wamenunua mansion hapa Marekani Atlanta karibu na nyumbani kwangu ye anajisifia kujenga nyumba Mbagala
Sasa junior account si anahifadhiwa hela zake zitakazomsaidia baadae
kwa Ada za shule na mahitaji mengine, ni jambo la akili na ni zuri sana