Bajeti kuu ya mwaka huu 2022/2023 chini ya Serikali ya awamu 6 imedhamiria kubana matumizi ya fedha za umma kwa vitendo na kuhakikisha thamani ya fedha kwa kila mradi unao endelea nchini.
Suala la kubana matumizi ya fedha za umma unapaswa uanzie kwa kila kiongozi aliye pewa dhamana kwenye eneo lake/sekta yake; Meaziri, manaibu, makatibu wakuu pamoja na watendaji mbalimbali wa Serikali.
Kiongozi atakaye shindwa kusimamia fedha na umma ktk eneo lake na kusababisha ubadhirifu au ufujaji tunashauri sio tu awajibishwe bali afikishwe/wafikishwe ktk vyombo vya sheria kwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufilisiwa.
Suala la kubana matumizi ya fedha za umma unapaswa uanzie kwa kila kiongozi aliye pewa dhamana kwenye eneo lake/sekta yake; Meaziri, manaibu, makatibu wakuu pamoja na watendaji mbalimbali wa Serikali.
Kiongozi atakaye shindwa kusimamia fedha na umma ktk eneo lake na kusababisha ubadhirifu au ufujaji tunashauri sio tu awajibishwe bali afikishwe/wafikishwe ktk vyombo vya sheria kwa hatua za kisheria ikiwa ni pamoja na kufilisiwa.