Habarini,
Kuna tabia imekua ikinikera miaka nenda rudi.
Serikali inakazana kuunda miundo mbinu na kuifanyia finishing nzuri ili uliwe na mwonekano mzuri na kuvutia lakini baada tu ya mradi kuanza watu wasiojua uzuri na waliokosa ustaarabu wanaanza kubandika sticker za matangazo ya kampeni, mikesha, dawa za asili na ajira.
Ombi langu iundwe sheria kali kwa atakayefanya hivi hii itasaidia usimamizi wa miundo mbinu na pia kuleta mvuto wa mwonekano wa miradi kama ilivyokusudiwa.
Kuna tabia imekua ikinikera miaka nenda rudi.
Serikali inakazana kuunda miundo mbinu na kuifanyia finishing nzuri ili uliwe na mwonekano mzuri na kuvutia lakini baada tu ya mradi kuanza watu wasiojua uzuri na waliokosa ustaarabu wanaanza kubandika sticker za matangazo ya kampeni, mikesha, dawa za asili na ajira.
Ombi langu iundwe sheria kali kwa atakayefanya hivi hii itasaidia usimamizi wa miundo mbinu na pia kuleta mvuto wa mwonekano wa miradi kama ilivyokusudiwa.