Uchaguzi 2020 UBASHIRI: Mgombea Urais CHADEMA 2020

Uchaguzi 2020 UBASHIRI: Mgombea Urais CHADEMA 2020

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2015
Posts
1,393
Reaction score
3,237
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake.

Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.
 
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake. Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.
The best three presidential material personnel ni;

1. Tundu A.M. Lissu

2. Zitto Z. R. Kabwe

3. Bernard K. Member

Any of these, kampeni zitakuwa patashika nguo kuchanika..!!

Ikitokea Tundu Lissu kapitishwa kupeperusha Bendera ya UKAWA/CHADEMA, historia itaandikwa ikiwa na kichwa kikuu;

"....KUTOKA KUPIGWA RISASI 16 HADI KUWA RAIS WA JMT...."

This is beautiful....!!
 
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake. Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.
Akili za watanzania za ajabu sana muda wao unapotea kwenye mambo yasiyo na tija kwa familia zao

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BROO TRUST ME UCHAGUZI WA MWAKA HUU 2020 UTAFANANA SAWA NA UCHAGUZI WA RWANDA WA MWAKA 2018
AU WA BURUNDI WA MWAKA 2015.

AMBAPO WAGOMBEA WA VYAMA TAWALA WALISHINDA KWA KISHINDO CHA ASILIMIA 90 NA NDIVYO HIVYO ITAKAVYOKUWA HAPA BONGO
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake. Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2] Kamanda Wa Anga Philemoni Aikaeli Mbowe
 
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake. Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.
Namba 1 itawezekanaje wakati yuko nje ya nchi? Namba 3 na 4 kwani ni wanachama wa CHADEMA?. Kwa hiyo wanaobaki hapo ni Namba 2 na 5; labda tumwongeze Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani
 
The best three presidential material personnel ni;

1. Tundu A.M. Lissu

2. Zitto Z. R. Kabwe

3. Bernard K. Member

Any of these, kampeni zitakuwa patashika nguo kuchanika..!!

Ikitokea Tundu Lissu kapitishwa kupeperusha Bendera ya UKAWA/CHADEMA, historia itaandikwa ikiwa na kichwa kikuu;

"....KUTOKA KUPIGWA RISASI 16 HADI KUWA RAIS WA JMT...."

This is beautiful....!!

Very beutiful
 
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake. Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.
JANUARI MAKAMBA
 
List yangu naiweka hapa kwa mtirirriko wa umuhimu kama ifuatavyo:
1. Tundu Lissu
2. Mh. Freeman A. Mbowe
3. Mh. Khasim Majaliwa
4. Januari Makamba
5. Zitto Z. Kabwe
 
Chadema huweka mgombea urais kufurahisha genge na kuchangamsha kampeni na si kwa ajili ya kwenda ikulu.

Yani kabisa mwanchadema na akili zake anamtaja Membe
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namba 1 itawezekanaje wakati yuko nje ya nchi? Namba 3 na 4 kwani ni wanachama wa CHADEMA?. Kwa hiyo wanaobaki hapo ni Namba 2 na 5; labda tumwongeze Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani
Yaani aongezwe Bulaya?!!
 
Waungwana salaam

Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake.

Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.

1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu

2.Lazaro Nyalandu

3. Zitto Zuberi Kabwe

4. Benard Membe

5. Freeman Aikaeli Mbowe.
Bado sijamuona wa maana hapo,hawa wote hawana tofauti, kuna wezi,waongo,wapenda totoz,wenye mihemuko.
 
Back
Top Bottom