Mkuu @Kitaturu,nakuhakikishia,Tundu Lissu akigombea,atatangazwa mshindi mapema sana.The best three presidential material personnel ni;
1. Tundu A.M. Lissu
2. Zitto Z. R. Kabwe
3. Bernard K. Member
Any of these, kampeni zitakuwa patashika nguo kuchanika..!!
Ikitokea Tundu Lissu kapitishwa kupeperusha Bendera ya UKAWA/CHADEMA, historia itaandikwa ikiwa na kichwa kikuu;
"....KUTOKA KUPIGWA RISASI 16 HADI KUWA RAIS WA JMT...."
This is beautiful....!!
Mkuu @Kitaturu,nakuhakikishia,Tundu Lissu akigombea,atatangazwa mshindi mapema sana.
Mh. Kaijage,wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama na DED wengi hawafurahishwi na hali ilivyo hivi sasa.
Amin amin nakwambia,watu wapo tayari kuiweka nchi mahali salama kwa mustakabari mwema wa vizazi vya sasa na vijavyo.
Unasemaje kuhusu huyu wa sasa mbona anatupiga sana fix.?Bado sijamuona wa maana hapo,hawa wote hawana tofauti, kuna wezi,waongo,wapenda totoz,wenye mihemuko.
Kasome katiba vizuri ili ujue mpangalio wa kupata Rais na makamu wa RaisMara hii CHADEMA wanakuja na jinsia ya KIKE, mgombea urais Halima Mdee na mgombea mwenza atakuwa Esther Bulaya ili ikulu ifanane na ya Clinton na Monica Lewinsky!
Lissu si anaogopa Onyo la Musiba kuwa CHADEMA wamepanga kumtungua atakapotua tu airport?Waungwana salaam
Mwaka huu ni mwaka wa uchaguzi mkuu hivyo kila chama kimejiandaa kikamilifu kushiriki. Kwa upande wa ccm ni wazi na bayana kuwa Rais Magufuli atapitishwa kutetea nafasi yake.
Lakini kwa upande wa upinzani hasa chama kikuu cha upinzani CHADEMA hii ndiyo top 5 ya watu wanaopigiwa chapuo kupeperusha bendera katika ngazi ya urais.
1. Tundu Antiphas Mughwai Lissu
2.Lazaro Nyalandu
3. Zitto Zuberi Kabwe
4. Benard Membe
5. Freeman Aikaeli Mbowe.
Wanakuja na mpiga risasi 38Mara hii CHADEMA wanakuja na jinsia ya KIKE, mgombea urais Halima Mdee na mgombea mwenza atakuwa Esther Bulaya ili ikulu ifanane na ya Clinton na Monica Lewinsky!
List yangu naiweka hapa kwa mtirirriko wa umuhimu kama ifuatavyo:
1. Tundu Lissu
2. Mh. Freeman A. Mbowe
3. Mh. Khasim Majaliwa
4. Januari Makamba
5. Zitto Z. Kabwe
Abrahaman Kinana
Nadhani sasa inawezekanaNamba 1 itawezekanaje wakati yuko nje ya nchi? Namba 3 na 4 kwani ni wanachama wa CHADEMA?. Kwa hiyo wanaobaki hapo ni Namba 2 na 5; labda tumwongeze Mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani