Sasa mbona unasema.Wale mliokuwa mnasema tutabugizwa tano njooni mutabiri sasa.
Kusema nini?Sasa mbona unasema.
Simba WanakaaYanga wanakaa
Ndugu yangu wala usitie shaka hilo haliwezi tokeaMshindi anajulikana ila Simba tafadhari sana yasitokee yale ya uD Songo tuliwadharau na kujiona bora kwa sababu twapiga timu za kawaida
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii mechi Inaweza kuchezwa "Nje ya Uwanja" ikaishia kwa sareKuelekea mechi ya watani wa jadi simba na yanga karibu kuweka ubashiri wako hapa
Simba iliyo na kikosi imara kilicho bora kila idara itawakaribisha yanga ambao wamekuwa wakipata matokeo ya kusuasua mechi zake za hivi karibuni
Karibu tuweke ubashiri hapa then tukutane hapa baada ya mechi ya wataniView attachment 1310276
Sent using Jamii Forums mobile app
Hamna sare hapo ni simba kushinda tu tena kwa kishindoHii mechi Inaweza kuchezwa "Nje ya Uwanja" ikaishia kwa sare
Mkuu mbona unaikadiria padogo simba kweli tushinde tuwili dhidi ya vyuraMnyama 2 Kandambili 0