Ubashiri wa Simba SC vs Yanga SC kwenye Ngao ya jamii

Ubashiri wa Simba SC vs Yanga SC kwenye Ngao ya jamii

Weka ubashiri wako hapa nani ataibuka mshindi.

Ubashiri wangu

Simba 2- Yanga 0

Wafungaji ni Konde Boy & Baleke
Kwa kocha huyu wa simba usishangae hao wachezaj kutocheza kabsa
 
Simba 1 yanga o mfungaji wa goli ni beki lakini sijui ni nani
 
Simba 1 ndonga ya Kibu Denis Mkandaji
Yanga 1 Musonda akitokea benchi

Yanga watashinda kwenye matuta
 
Back
Top Bottom