mr_stev001
Senior Member
- Feb 4, 2023
- 159
- 220
Unaweza ukanywa maziwa siku 29 siku ya 30 ukanywa sumu bado utakufa vile vile.
Hii inamaanisha ubaya wako mmoja unaweza kufuta mema yako yote.
Kwa hiyo kuwa makini na mtu unayemtendea ubaya[emoji1600][emoji1600] [mention]enline g [/mention]
Hii inamaanisha ubaya wako mmoja unaweza kufuta mema yako yote.
Kwa hiyo kuwa makini na mtu unayemtendea ubaya[emoji1600][emoji1600] [mention]enline g [/mention]