Wakuu poleni sana majukumu.
Mimi n kijana mwenye umri wa miaka 28, ninamika mi3 tangu nimemaliza masomo yangu ya elimu yajuu, nimehangaika sana kutafuta kazi bila mafanikio. Nimekutana nakina mwenzangu leo kanishauri kuhusu biashara hii ya kuwa dereva wa uber. Ninakagari kangu kaurithi nataka nikatumie kwa biashara hii mimi mwenyewe. Naomba mwenye uelewa namwenye ujuzi anipe changamoto zake wakuu kabla ya kuamza