Warumu iyo........gamali kuluta na mpungu.........
shikamooooo mwalimu
Warumu iyo........gamali kuluta na mpungu.........
mamito hebu nitafsirie kwanza
naona maruweruwe tu
Nongeje nakalimbo.......mbombo jilipo.......
mbona unapiga kelele? unajua maana ya ukabila? hao wanacopy na kupaste mada za kiingereza mbona hamuati wakabila?Moderator huu ni ukabila
mbona unapiga kelele? unajua maana ya ukabila? hao wanacopy na kupaste mada za kiingereza mbona hamuati wakabila?
hii ni lugha tu, na hakuna sheria yoyote ya jamii forum inayoelekeza lugha ya kutumia.
unafikiri humu wote wanajua kiswahili? unafikiri wote wanajua kiingereza?
hata hii lugha hawajui wote ila inatumika kwenye mawasiliano
hii mada haihusiani na lugha wewe, inahusu mambo ya MMU, nisheria ipi and i challenge Moderator inayoeleza lugha zinazopaswa kutumika MMU? hii mada haina content yoyote ya lugha ila ni ulimbukeni tu umefanya mpige kelele kutaka ihamishiwe huku na imehamishiwa.Jaman peleken jukwaa la lugha basi. Mnafikir kila mtu akiongea cha kwao patakalika hapa.?
mie nimetoa mada kwa lugha ya sukumaland wao wanasema mara hii ni ya jukwaa la lugha, haya wajadili sasa,sijui mjadala wa lugha uko wapi hapa? watu wana fikra finyu sana. wengine wanadai ukabila, ukabila ndo uko hivi?Mmmm!!!!!
Hii kandamiza ni ya sukumaland au?!
nisingekuwa naelewa nisingekujibu.
u-nkima nsoga og'utola abhize.
1. o-pe.
2.winikujo.
3.nfula.
4.nogu.
namala.
nongeje nakalyimbo.
alihoi nkima namonileee.
nsoga o-bhasoga udugemanijaaa.
o-mino g'udiwali o-melemetaga guding'weji.
mbona unapiga kelele? unajua maana ya ukabila? hao wanacopy na kupaste mada za kiingereza mbona hamuati wakabila?
hii ni lugha tu, na hakuna sheria yoyote ya jamii forum inayoelekeza lugha ya kutumia.
unafikiri humu wote wanajua kiswahili? unafikiri wote wanajua kiingereza?
hata hii lugha hawajui wote ila inatumika kwenye mawasiliano
u-nkima nsoga og'utola abhize.
1. o-pe.
2.winikujo.
3.nfula.
4.nogu.
namala.
nongeje nakalyimbo.
alihoi nkima namonileee.
nsoga o-bhasoga udugemanijaaa.
o-mino g'udiwali o-melemetaga guding'weji.