Maisha ya shule jamani!
Nipo hostel room tupo wawili wawili jamani mwezangu hajui kununua ndala za kuogea.semister ilopita tumetumia zangu hadi zikakatika zilivyokatika akawa anaazim next room badae mi nikaamua kununua nyingine akaachananaz zile za next room akaendelea tena kutumia zangu semista nyingine tena amefika bila ndala anaendelea kuogea zangu.
Yaani tunangojeana mtu akienda kuoga amsubiri mwezake nae akaoge imefika muda nimemzoea tu sasa Leo nilivaa sendo zake kuna mvua mvua bahati mbaya zimekatika nimemwambia samahani sendo zimekatika jamani katoa mshangao kiasi kwamba nimemwambia tu nitaenda kuzishona
Je, nikizishona si ataona aibu kuendelea kuvaa ndala zangu za kuogea dah yani nimejisikia vibaya nimejilaum kwanini nilizivaa
Nipo hostel room tupo wawili wawili jamani mwezangu hajui kununua ndala za kuogea.semister ilopita tumetumia zangu hadi zikakatika zilivyokatika akawa anaazim next room badae mi nikaamua kununua nyingine akaachananaz zile za next room akaendelea tena kutumia zangu semista nyingine tena amefika bila ndala anaendelea kuogea zangu.
Yaani tunangojeana mtu akienda kuoga amsubiri mwezake nae akaoge imefika muda nimemzoea tu sasa Leo nilivaa sendo zake kuna mvua mvua bahati mbaya zimekatika nimemwambia samahani sendo zimekatika jamani katoa mshangao kiasi kwamba nimemwambia tu nitaenda kuzishona
Je, nikizishona si ataona aibu kuendelea kuvaa ndala zangu za kuogea dah yani nimejisikia vibaya nimejilaum kwanini nilizivaa