Kuumuua mwizi aliyekuja kuvamia kwako aibe ni ubinafsi na inaonesha jinsi ulivyo na roho mbaya, unaendekeza mali kuliko uhai wa mtu.
Itakuwa kanusulika chupuchupu..Wewe ni mwizi na umekoswa kosea kuuwawa.pole Sana jizi wewe.
Tafuta vyako kwa njia halali utakuja kuuwawa kweli simasihara