Poppy Hatonn
JF-Expert Member
- Apr 9, 2021
- 3,095
- 4,632
Tabia ya ubinafsi inaliua taifa. Mali ya taifa siyo ya mtu mmoja,siyo ya familia moja. Na watu wengine wanatuambia kwamba hakuna mtu mwenye hati miliki ya nchi hii wakati tunaona wao wenyewe ndio wana hati miliki ya nchi hii.
Kwa hiyo awamu bàada ya awamu ya viongozi: kila kiongozi anakula urefu wa kamba yake. Hajali maendeleo ya wote. Hayo atamwachia kiongozi mwingine wa baadaye,ambaye alipokuwa mdogo hakulala ndani ya nyumba na mifugo.
Kwa hiyo, you are kicking the can down the road. Unàahirisha kutanzua matatizo ndani ya nchi. Lakini watu wakishaona ishara kwamba ni watu wachache tu wanaofaidika na taifa, hapo ndio unaliua taifa.
Baadaye watu wanaelewa ubaya wa ubinafsi, wanafanya marekebisho, halafu wanajenga taifa lenye nguvu, lakini hiyo huwa inatokea katika taifa jingine. Yaani, kama DRC(kwa mfano) kuna ubinafsi unaiharibu nchi,marekebisho yanafanyika katika nchi nyingine, kwamba "tusifanye mambo kama wanavyofanya DRC"
Kwa hiyo ni imani ya political scientists wengi kwamba nchi ikiwa corrupt ndio basi tena.
Kwa hiyo awamu bàada ya awamu ya viongozi: kila kiongozi anakula urefu wa kamba yake. Hajali maendeleo ya wote. Hayo atamwachia kiongozi mwingine wa baadaye,ambaye alipokuwa mdogo hakulala ndani ya nyumba na mifugo.
Kwa hiyo, you are kicking the can down the road. Unàahirisha kutanzua matatizo ndani ya nchi. Lakini watu wakishaona ishara kwamba ni watu wachache tu wanaofaidika na taifa, hapo ndio unaliua taifa.
Baadaye watu wanaelewa ubaya wa ubinafsi, wanafanya marekebisho, halafu wanajenga taifa lenye nguvu, lakini hiyo huwa inatokea katika taifa jingine. Yaani, kama DRC(kwa mfano) kuna ubinafsi unaiharibu nchi,marekebisho yanafanyika katika nchi nyingine, kwamba "tusifanye mambo kama wanavyofanya DRC"
Kwa hiyo ni imani ya political scientists wengi kwamba nchi ikiwa corrupt ndio basi tena.