Ubingwa alioupoteza Haji Manara ni upi?

Ubingwa alioupoteza Haji Manara ni upi?

Expensive life

JF-Expert Member
Joined
May 2, 2020
Posts
2,971
Reaction score
9,437
Kumekuwa na sintofahamu kuwa hivi sasa Manara tangu tu alipoenda Dubai amepoteza kabisa ubingwa wake, hali iliyopelekea mke wake mdogo kumkimbia.

Ikumbukwe kuwa Haji manara ni balozi wa wasafi bet hivyo yeye na mkewe walilipiwa gharama zote za safari kwenda na kurudi malazi vyakula vilipwa na kampuni hiyo ya betting hapa nchi chini ya usimamizi wa Diamond platnumz.

Sasa ndugu zangu ubingwa gani alikuwa nao Haji kabla hajaenda Dubai? Hali iyopeleke kushinda kuutetea pindi alipokuwa huo?


8BAB6255-458A-4ACF-B5AF-70D1DDAAA9B7.jpeg
 
Weka picha ya huo ubingwa tuthibitishe kwanza kabla ya kutoa maelezo
 
wanamaanisha unbeaten ya arse anal aliyokuwa nayo bibie ashura cheupe imevunjwa kitambo tangu 2004
 
Back
Top Bottom