Ubishani! Kati ya Tanasha/Kenya na Muncy /Tanzania nani mzuri

Weka picha wametoka kuamka au wanapiga Mihayo.
 
Hakuna wanawake wa kipuuzi Kama Wanawake wa kimeru , nimeishi nao na ndio maana Kaka zao hawawaoni, nenda Arusha uliza utajibiwa vizuri Sana kuhusu hili ... Wengi n wauaji .. Wengi mtashangaa hili ila nawaambia tu...


Kwasababu hiyo acha kumlinganisha Tanasha Donna na vitu vya kipuuzi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni utani Tanasha mzuri bhana.Huyo mdada ni mzuri ila uzuri wake wa kawaida sana compare na Tanasha. Em acheni masihara
 
Acheni utani Tanasha mzuri bhana.Huyo mdada ni mzuri ila uzuri wake wa kawaida sana compare na Tanasha. Em acheni masihara


Katika mademu aliowahi kuwa nao Diamond, Tanasha is the most beautiful one. Yule mtoto ni mkali halafu ni matawi ya juu
 
Hapana man ni tabia ya manzi mwenyewe,,Kuna mamanzi wa Ki'Iraq au Wambulu,Wachaga,wapare,Wamaasai,Waarusha na wameru ni wakali Si poa,ila sema Wambulu waga hawanyimani wale ni hawajatulia hapo ndo wanapozingua,
Wamachame vipi mkuu

Wanafaa?
 
Huyo mmeru ninaomba number yake please Mungu aisee ni fundi Kuna baadhi ya wanawake wamependelewa Kama huyo mmeru kumbe Arusha Kuna vyombo vikali kiasi hicho

ukiona mwanamke kwenye mitandao ana like zaidi ujue kidonda cha kilio


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Nimekumbuka Mbuguni enzi hizo nazama mgodini aka sobibor no baby yaani no ma...ya kuingia mgodini,kabla wazungu hawajamilikishwa migodi.
Huyo wa mbuguni yuko njema halafu bado mbichi.
Wewe unamfahamu vizuri. Huyu mmeru nduguze mmojawapo yule walomfanya ubaya kideoni na kabinti kengine black beauty hivi. Wanakuwaga watatu mara mingi. Sema saa hizi kuna muuza Oil mmoja kama ndio anadalalia sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah basi kama connection unayo fanya mambo bwana nikapige deki papuchi hiyo

Njoo Tanga,hako kadogo na Mercy Makaaya,million ya kutosha kukaa wiki kwenye lodge huku umeshamfirigisa!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…