Mawazo yangu
Member
- Sep 22, 2011
- 37
- 18
Nimependa hii idea ya hawa jamaa, kwenye huu wimbo wao mpya
Wanabishana kipi ni muhim ktk mapenz ni pesa au mambo ya kupet pet
Wanachonifurahisha wanatumia story zao za ukweli wanafanya wimbo unakuwa halisi sana
Kingine promo, jamaa wamejitahd sana kufanya promo tena kwa namna ya kibunifu kidogo, kuna clips zilianza kusambaa instagram na whatsapp tangu juz usiku na jana ambapp wameurelease officially na zimeendelea had leo pia zikiwashirikisha had waigizaj na wachekeshaj.
Inshort when comes to business hawa jamaa wanajua namna ya kuuza.
Sitashangaa tena kama huu wimbo ukimuingizia Ney hela nyingi sana
Wanabishana kipi ni muhim ktk mapenz ni pesa au mambo ya kupet pet
Wanachonifurahisha wanatumia story zao za ukweli wanafanya wimbo unakuwa halisi sana
Kingine promo, jamaa wamejitahd sana kufanya promo tena kwa namna ya kibunifu kidogo, kuna clips zilianza kusambaa instagram na whatsapp tangu juz usiku na jana ambapp wameurelease officially na zimeendelea had leo pia zikiwashirikisha had waigizaj na wachekeshaj.
Inshort when comes to business hawa jamaa wanajua namna ya kuuza.
Sitashangaa tena kama huu wimbo ukimuingizia Ney hela nyingi sana