COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
- Thread starter
-
- #61
according to me i think that cost is exargarated for an interchange....then a super higway always comes with all including flyovers,interchanges,footbridges and underpasses that could av been a better approachNope. Separate. It'll be a six lane road till Kibamba and then four lanes to Chalinze. 120km in total.
Aliyeanzisha huu Uzi ni Mkenya mkuu, unaweza hamia kwake ukipenda.wote mshahamia hata kimawazo ,kutwa kuwaongelea na ku quote vi mradi vyetu kwa currency yao,mbona wao hawahangaiki na mambo yetu?
Railway wanayo tayari,flyovers wanazo ,sisi makelele tu na masifa. BASHITE NATION
Mtu anataka afananishe huu uchafu substandard
View attachment 641497
Na hii interchange
View attachment 641498
Mkinusa glue huko majalalani mkumbuke kula
This is rubbish my friend, who did it ?
I guess, college students did this.
Hahaha and consultant engineer from kakamega primary probably
Team Povu.probably kamau kamere
teh teh teh teh teh
awamu ya tano ya ubabe na risasi,hata mabishano ya hoja hamuwezini makick na sifa za uongouongoAliyeanzisha huu Uzi ni Mkenya mkuu, unaweza hamia kwake ukipenda.
Tuko Na mpango wa kuanza highway from kimara to chalinze,iyo highway itakua n 6lanes flyover 5 na toll stations 3,resting places 2 na mambo mengine kadhaa, hio ubungo interchange itaisha sambamba na highway kama ulisikia wameshavunja nyumba zilizokuepo ndani ya hifadhi ya barabara iyo!!according to me i think that cost is exargarated for an interchange....then a super higway always comes with all including flyovers,interchanges,footbridges and underpasses that could av been a better approach
sasa tunajenga highway from nai to mombasa 480km 6 lanes 20 interchanges unakuja na keleleTuko Na mpango wa kuanza highway from kimara to chalinze,iyo highway itakua n 6lanes flyover 5 na toll stations 3,resting places 2 na mambo mengine kadhaa, hio ubungo interchange itaisha sambamba na highway kama ulisikia wameshavunja nyumba zilizokuepo ndani ya hifadhi ya barabara iyo!!
Sindano zinakuja na itakua highway ya zaidi ya 100 km sio Ile yenu km 50 pekee....sasa issue ndogondogo kama footbridge izo sio za kuuliza wala!!
"Tuko na Tuta" tumezoea haya majina hope this time it becomes a reality... all the best Southern neighbors.Tuko Na mpango wa kuanza highway from kimara to chalinze,iyo highway itakua n 6lanes flyover 5 na toll stations 3,resting places 2 na mambo mengine kadhaa, hio ubungo interchange itaisha sambamba na highway kama ulisikia wameshavunja nyumba zilizokuepo ndani ya hifadhi ya barabara iyo!!
Sindano zinakuja na itakua highway ya zaidi ya 100 km sio Ile yenu km 50 pekee....sasa issue ndogondogo kama footbridge izo sio za kuuliza wala!!
Iyo highway imeanza au ni renders tusasa tunajenga highway from nai to mombasa 480km 6 lanes 20 interchanges unakuja na kelele
Highway by 2020 iko done na bado highway iko sai haitafutiliwa mbali
Mkianza ujenzi uje apa kijana unless stop dramaHighway by 2020 iko done na bado highway iko sai haitafutiliwa mbali
Ujenzi umeanza 2020 nakualika uitumieMkianza ujenzi uje apa kijana unless stop drama
Weka picha apa hatutaki chai zakoUjenzi umeanza 2020 nakualika uitumie
Mabishano ya hoja? Na bavicha? Mmeshaishiwa hoja nyie sasa hivi mmebakiwa na vihoja.awamu ya tano ya ubabe na risasi,hata mabishano ya hoja hamuwezini makick na sifa za uongouongo
Mange kimambi kapost nini Leo?awamu ya tano ya ubabe na risasi,hata mabishano ya hoja hamuwezini makick na sifa za uongouongo