Ubongo unaotolewa kwa watu walioaga dunia kwa vifo vya ghafla au kuanguka hufanyiwa shughuli gani?uli

Ubongo unaotolewa kwa watu walioaga dunia kwa vifo vya ghafla au kuanguka hufanyiwa shughuli gani?uli

Ntandaba

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2015
Posts
922
Reaction score
1,483
Moja kwa moja kwenye hoja kuntu,kuna utaratibu hufanywa na wenye dhamana ya kumfanyia upasuaji wa kichwa na kutoa ubongo pale inapotokea mtu kaaga dunia ambayo haiambatani na kuumwa.Mfano mathalani marehemu amepigwa na rungu katika purukshani za ugomvi na hatimaye kafa iweje afanyiwe upasuaji ilhali chanzo cha umauti kinafahamika kuwa ni rungu alilopigwa,sasa ubongo unachukuliwa kwa kazi gani?
 
Watu waishio south africa wanasema kule hata ufe kifo chochote lazima watoe ubongo na vitu vya tumbon vyote ..naskia wanatengenezea madawa na mfano kama figo wanapa walio na magonjwa hayo wenye kuhitaji msaada wa haraka....
 
Back
Top Bottom