Ubongo wa mwanamke unavyofanya kazi

Hao ulio wazungumzia ni wanawake wa Jupiter sio hawa wa hapa dunia


je, mwanaume anaefanya hivi pia tuseme ana ubongo wa mwanamke?
Chembechembe za ubishi ni hatari sana kwa afya yako [emoji28]
 
Chembechembe za ubishi ni hatari sana kwa afya yako [emoji28]
Nilikwambia nijiite DanBright, hukujibu


by the way, hv kati ya simba na swala n nani anae ishi kimachale machale eti
 
Nilikwambia nijiite DanBright, hukujibu


by the way, hv kati ya simba na swala n nani anae ishi kimachale machale eti
Jiite tuu hakuna neno,
Swala ndiye aishie kimachale.
 

Nadharia tu hizo
 
Hao ulio wazungumzia ni wanawake wa Jupiter sio hawa wa hapa dunia


je, mwanaume anaefanya hivi pia tuseme ana ubongo wa mwanamke?
Unakataa tu lkn ni kweli me naeza kusoma wakt huo huo na naangalia Tv na bado ntakua na napika au nafanya kingine
 
Sasa Mkuu inakuwaje katika kuwavua chupi ili ' Kuwabandua ' hiyo ' fast data transfer ' yako kwa Wao wanawake hugeuka na kuwa ' slow data transfer? ' Je hii hutokana na nini Mtaalam wetu?

Kuna mwanamke jirani yangu hapa nimemuuliza swali lako hili sasa hivi hahahahaha kanijibu huwa wanagundua mapema pia ila wanatufanyia makusudi.
 
Kuna mwanamke jirani yangu hapa nimemuuliza swali lako hili sasa hivi hahahahaha kanijibu huwa wanagundua mapema pia ila wanatufanyia makusudi.

Safi sana Mkuu naona naona na Wewe uliamua kufanya ' fast data checking ' kupitia huyo Dada. Heko sana Mkuu wangu.
 
Unakataa tu lkn ni kweli me naeza kusoma wakt huo huo na naangalia Tv na bado ntakua na napika au nafanya kingine
binadamu ambae hawez kufanya mambo mawil matatu kwa pamoja hayo ana upungufu
 
Aiseee.
 
Je vice versa ni kweli
 

Mkuu hata women suffragette ilianza hivi hivi
 
Juz nimekamatwa kindezi yan imeita simu ya mchepuko simu sikua nayo mkononi ila nimesave jina la kiume ile kusita for the first time kuipokea tayar attention ikawa huu maskio kama anttena nikaangaliwa kwa makini ikabidi nipokee bt nimeifkisha sikioni nikajifanya sisikii vzur ile simu nikaikata kiistail kule kule sikioni nikajisemesha hii network bana? Kumbe akishanisoma akasema mbona uikata? Duuh jasho ikanitoka nipe simu daah ulikua mtihan....... Siendelei bt ule msala umeisha leo hatare wako sensitive jamn hawa viumbe...
 
kwa kweli huwa wana tustahi tu, ila vitu vingi huwa wanavistukia bali wa piga kimya, labda kwa sbabu ya kukwepa ugomvi. ukitaka umsome kirahisi alivyokuwa navyo kichwani juu yako, we jiachie nae mcheke sana tu, mwingizie utani utani kama vile unavyowatamani wanawake njiani, lakini unaogopa, hakikisha anajihisi free kabisa, utashangaa.......!!![emoji29][emoji29]
 
Mwanamke hajawahi kuutumia ubongo kumshinda mwanaume mkuu.

Wanawake ni watu wa kukurupuka bila kutumia ubongo/akili. Hufuata matamanio ya moyo/hisia.

Ndio maana wanawake huongoza kwa majuto kuliko wanaume.

Hivyo umeongea uongo
Kweli kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…