Ubora katika jezi namba 1

Trebla84

JF-Expert Member
Joined
Sep 6, 2011
Posts
510
Reaction score
637
Katika mchezo wa soka jezi namba ni kitu muhimu sana. Je, kati ya hawa makipa watatu Buffon, Kahn na Cassilas ni yupi unahisi aliitendea haki jezi namba 1?

 
Wote walikuwa Bora Ila unakumbuka Kahn walikuwa wanasema ana mikono elfu moja kabla ya Ile fainali ya kombe la dunia 2002

Yale ni maneno tu,
Woote ni bora, nikisema niwarate kwangu wote wanaambulia 9:10
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…