Mswahili tabu kabisa yaani muda wote anawaza ufisadi tuu!ndiyo maana mashirika ya umma yanakufa halafu jiwe anataka airtel waswahili waingie katika management kwa wingi itakua kama ttclHabari Wadau, Nimepata tenda ya kusimamia mashamba ya parachichi ya Waholanzi sasa wamenipa pesa kiasi ya kununua usafiri Off- Road.
Kuna bajeti ya 20M kwa ajili ya gari hapa nafikilia 8M natia mfukoni alafu 12M nitafute hiki kigari SUZUKI JIMNY je kitahimiri mikiki ya huko shambani kwa WAZOEFU wa hii gari msaada tafadhali.
View attachment 1000099
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna namna mzee ufisadi hauepukiki.Mswahili tabu kabisa yaani muda wote anawaza ufisadi tuu!ndiyo maana mashirika ya umma yanakufa halafu jiwe anataka airtel waswahili waingie katika management kwa wingi itakua kama ttcl
FaizaFoxy
MSAGA SUMU
Pascal Mayalla
Mshana Jr
Shukrani Kiongozi kwa mchango wako.Gari zuri sana spare za kumwaga ila bei kinapita sehemu yoyote hakikwamwi. Ila kina mashine ndogo cc 1300 hakiwezi kuhimili mwendo mrefu na mikiki mingi ndio maana watu wengi wanaviua vinataka misele kidogo
Yeah Escudo ipo Poa sana hasa apate Manual transmission atafurahi sana kwa shughuli za shambaBora utafute Grand Vitara/Escudo ya 2001-2005. Nafikiri iko ndani ya hiyo budget, na ina features nyingi zaidi ya huyo mdogo wake.
Saana. Nimemiss gari manual kwa kweli. Kwenye soko la used zinakuwa ghalama zaidi kuliko automatic. Ila hilo dude ni gumu saana. Na linamuonekano mzuri kidogo kuliko generation ya nyuma yakeYeah Escudo ipo Poa sana hasa apate Manual transmission atafurahi sana kwa shughuli za shamba
Kwanini usitafute gari ya uhakika kwa sababu hela haitoki kwako ni vyema ungepata gari imara kama nissan hardbody pickup.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well noted Kiongozi wacha niitafuteProbox iulizie utaiskia mrejesho wake hizi gari zinahimili sana mikikimikiki ya offroad japokuwa zipo chini
Sent using Jamii Forums mobile app
Point noted boss, shukrani ngoja niicheki hyo.Yeah Escudo ipo Poa sana hasa apate Manual transmission atafurahi sana kwa shughuli za shamba
Hii chuma ndo yenyewe mkuu...hii ndo my dream car kwa trip za townHabari Wadau, Nimepata tenda ya kusimamia mashamba ya parachichi ya Waholanzi sasa wamenipa pesa kiasi ya kununua usafiri Off- Road.
Kuna bajeti ya 20M kwa ajili ya gari hapa nafikilia 8M natia mfukoni alafu 12M nitafute hiki kigari SUZUKI JIMNY je kitahimiri mikiki ya huko shambani kwa WAZOEFU wa hii gari msaada tafadhali.
View attachment 1000099
Sent using Jamii Forums mobile app
Hio ni suzuki jimney wide kaka hiki chenyewe ni cc660Gari zuri sana spare za kumwaga ila bei kinapita sehemu yoyote hakikwamwi. Ila kina mashine ndogo cc 1300 hakiwezi kuhimili mwendo mrefu na mikiki mingi ndio maana watu wengi wanaviua vinataka misele kidogo
Naskia Spare zake ngumu kupatikanaHii chuma ndo yenyewe mkuu...hii ndo my dream car kwa trip za town