Prodigy Oligarchy
JF-Expert Member
- Mar 21, 2020
- 571
- 653
Hopefully ulishafanya maamuzi, mrejesho please.Point noted boss, shukrani ngoja niicheki hyo.
Nadhani spare hua wanamaanisha za kuchinja. Ila spea mpya naona ziko nyingi madukani.Naskia Spare zake ngumu kupatikana
Ulaji wa mafuta ikoje mkuu? Pia kusafiri masafa marefu inahimili?Hiyo Ni gari ngumu. Mimi binafsi ninayo Suzuki Jimny 660cc ya Mwaka 1998. Niliinunua mwaka August, 2011 (Namba T___BUK), Naitumia mpaka sasa hivi bila shida. Spear zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo Ni gari ngumu. Mimi binafsi ninayo Suzuki Jimny 660cc ya Mwaka 1998. Niliinunua mwaka August, 2011 (Namba T___BUK), Naitumia mpaka sasa hivi bila shida. Spear zipo
Sent using Jamii Forums mobile app
[/QLiter moja unakwenda km ngapi mkuu?
Gari yangu ishaenda Safari ndefu zifuatazo Dar-Mwanza mara 8, Dar-Arusha mara 6, Dar -Songea mar 1. Safari hizi zimefanyika toka 2011. Na Kuna kipindi ilienda Dar-Mwanza-Dar, Kisha Dar-Songea-Dar Tena ndani ya mwezi mmoja. Ina engine ya K6A, 660 cc, Turbo charged. Ulaji wa mafuta 12km/L na kwa Sasa ina milage ya 260,000KmUlaji wa mafuta ikoje mkuu? Pia kusafiri masafa marefu inahimili?
Ww ndio umemshauli hiyo gari naipenda sana hasa apate double kibin na misele unapiga nayo inachukua watu 5 pamoja na deleva naitamani sana ile gali nissanKwanini usitafute gari ya uhakika kwa sababu hela haitoki kwako ni vyema ungepata gari imara kama nissan hardbody pickup.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho. Kwanza kumbuka ful tank yake Ni 35Ltrs+5Ltrs za reserveUkitia Full Tenki kinadidimia upande mmoja
Asante sana mkuu, umeniongezea ujasiri.Gari yangu ishaenda Safari ndefu zifuatazo Dar-Mwanza mara 8, Dar-Arusha mara 6, Dar -Songea mar 1. Safari hizi zimefanyika toka 2011. Na Kuna kipindi ilienda Dar-Mwanza-Dar, Kisha Dar-Songea-Dar Tena ndani ya mwezi mmoja. Ina engine ya K6A, 660 cc, Turbo charged. Ulaji wa mafuta 12km/L na kwa Sasa ina milage ya 260,000KmView attachment 1431309
Sent using Jamii Forums mobile app
hii 12 km per liter ni kwa Safari za mjini sio?Gari yangu ishaenda Safari ndefu zifuatazo Dar-Mwanza mara 8, Dar-Arusha mara 6, Dar -Songea mar 1. Safari hizi zimefanyika toka 2011. Na Kuna kipindi ilienda Dar-Mwanza-Dar, Kisha Dar-Songea-Dar Tena ndani ya mwezi mmoja. Ina engine ya K6A, 660 cc, Turbo charged. Ulaji wa mafuta 12km/L na kwa Sasa ina milage ya 260,000KmView attachment 1431309
Sent using Jamii Forums mobile app
hii 12 km per liter ni kwa Safari za mjini sio?
.nakaaa Arusha kitafika marangu?Gari zuri sana spare za kumwaga ila bei kinapita sehemu yoyote hakikwamwi. Ila kina mashine ndogo cc 1300 hakiwezi kuhimili mwendo mrefu na mikiki mingi ndio maana watu wengi wanaviua vinataka misele kidogo
Hebu pitia post hiyo namba 26Gari yangu ishaenda Safari ndefu zifuatazo Dar-Mwanza mara 8, Dar-Arusha mara 6, Dar -Songea mar 1. Safari hizi zimefanyika toka 2011. Na Kuna kipindi ilienda Dar-Mwanza-Dar, Kisha Dar-Songea-Dar Tena ndani ya mwezi mmoja. Ina engine ya K6A, 660 cc, Turbo charged. Ulaji wa mafuta 12km/L na kwa Sasa ina milage ya 260,000KmView attachment 1431309
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa iyo 20mKwanini usitafute gari ya uhakika kwa sababu hela haitoki kwako ni vyema ungepata gari imara kama nissan hardbody pickup.
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua sana gari bro, hata miye ninayo ila ya zamani sana. Inanguvu sana 1290ccHakuna kitu kama hicho. Kwanza kumbuka ful tank yake Ni 35Ltrs+5Ltrs za reserve
Sent using Jamii Forums mobile app