Ubora na utendaji wa hii upoje?

Ubora na utendaji wa hii upoje?

Nomadix

JF-Expert Member
Joined
Jan 5, 2025
Posts
2,411
Reaction score
6,646
Habari wanajukwaa

Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo
  • Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C#
  • Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop
  • Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office
HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio inaendana na bajeti niliyonayo:
Tzs 500,000-750,000

Specs zake
  • Intel Core i5 8th-Gen 8365U, 2.5GHz
  • 8GB DDR4 RAM, 1.8GHz, 256GB NVMe
  • 14-inch FHD IPS, 1920×1080 touchscreen, 500nit Peak

Wakuu nauliza kama aliewahi kuitumia inafaa? kama haifai unapendekeza ipi?
Natanguliza shukrani zangu
 
  • Thanks
Reactions: 2v1
Ngoja wataalam watakujibu

Mashine yenye hizi sifa kwa hapa Dar inapatikana wapi?
 
Habari wanajukwaa

Nahitaji kununua laptop kwaajili ya mambo yafuatayo
  • Kufanya basic coding kwa kutumia HTML,PHP,Javascript,C#
  • Kutumia application za Adobe kama Lightroom,InDesign, na Photoshop
  • Kutumia App za Microsoft kama MS Excel,Word; na Libre Office
HP Elitebook 840 G6 (Refurb) nimeona ndio inaendana na bajeti niliyonayo:
Tzs 500,000-750,000

Specs zake

  • Intel Core i5 8th-Gen 8365U, 2.5GHz
  • 8GB DDR4 RAM, 1.8GHz, 256GB NVMe
  • 14-inch FHD IPS, 1920×1080 touchscreen, 500nit Peak

Wakuu nauliza kama aliewahi kuitumia inafaa? kama haifai unapendekeza ipi?
Natanguliza shukrani zangu
Kwa 500K sio mbaya hio laptop, ila kama budget Inafika hadi 750K ushauri wangu tafuta intel gen ya 11. Hii gpu yake ya ndani ni nzuri zaidi itakusaidia sana kwenye apps za Adobe, pia single core perfomance ni kubwa kama una kazi nzito nzito za Excel na Java script itasaidia.

Bei zake zinarange humo 600-700K
 
Ongeza RAM ndo ushauri wangu mkubwa, max out 32GB. Pia 256GB space inaweza kukutesa.
 
Kwa 500K sio mbaya hio laptop, ila kama budget Inafika hadi 750K ushauri wangu tafuta intel gen ya 11. Hii gpu yake ya ndani ni nzuri zaidi itakusaidia sana kwenye apps za Adobe, pia single core perfomance ni kubwa kama una kazi nzito nzito za Excel na Java script itasaidia.

Bei zake zinarange humo 600-700K
Shukrani sana nitalifanyia kazi hili
 
Ongeza RAM ndo ushauri wangu mkubwa, max out 32GB. Pia 256GB space inaweza kukutesa.
[emoji736]Noted RAM nitaiongeza umenena jambo la maana 32GB RAM & 512GB SSD sio?
 
[emoji736]Noted RAM nitaiongeza umenena jambo la maana 32GB RAM & 512GB SSD sio?
Sasa hiyo 32GB RAM yote ni ya nini, kwani unaenda kufanya rendering ya 8K videos, kwa matumizi yako hata 16GB bado ni Overkill, kama bajeti yako haina longo longo basi ishia 16GB.
Hutaona tofauti ya kutumia 16GB na 32GB kwa matumizi yako hayo, na tofauti ya 8 na 16 ni kidogo kama utabaki kufanya hayo uyafanyayo.
 
Kwa 500K sio mbaya hio laptop, ila kama budget Inafika hadi 750K ushauri wangu tafuta intel gen ya 11. Hii gpu yake ya ndani ni nzuri zaidi itakusaidia sana kwenye apps za Adobe, pia single core perfomance ni kubwa kama una kazi nzito nzito za Excel na Java script itasaidia.

Bei zake zinarange humo 600-700K
Mkuu hivi gen 11 kuna zinazokuja na Thunderbolt kweli...!?
 
Ndio Laptop ninayoitumia iyo, tokea 2022 sio mbaya inapiga mzigo hadi leo. Nilinunua 700 refub.
 
Sasa hiyo 32GB RAM yote ni ya nini, kwani unaenda kufanya rendering ya 8K videos, kwa matumizi yako hata 16GB bado ni Overkill, kama bajeti yako haina longo longo basi ishia 16GB.
Hutaona tofauti ya kutumia 16GB na 32GB kwa matumizi yako hayo, na tofauti ya 8 na 16 ni kidogo kama utabaki kufanya hayo uyafanyayo.
nafanya basic yaani kujifunza na sio pro level, bajeti yangu ni 500k-700k nimeona hapa 32GB RAM inafika milioni dah bora nikomae na 8GB PCs
 
nafanya basic yaani kujifunza na sio pro level, bajeti yangu ni 500k-700k nimeona hapa 32GB RAM inafika milioni dah bora nikomae na 8GB PCs
Yah komaa na hiyo hiyo wala huna haja ya 16, mi nimefanya hayo mambo kwa 4GB sana tu, ila nilipokwama ni Photoshop kwanzia version ya 2021. Ndo nkaongeza RAM mpaka 8GB now iko smooth.

Ila siku budget ikikaa sawa, Hamia Apple M Series. Ukiwa na million 1.3-5 ukivizia vizuri unapata M1 macbook Air. Inazidi windows Laptop za million 2 plus.
NB: Kuvizia ni Ebay.
 
Yah komaa na hiyo hiyo wala huna haja ya 16, mi nimefanya hayo mambo kwa 4GB sana tu, ila nilipokwama ni Photoshop kwanzia version ya 2021. Ndo nkaongeza RAM mpaka 8GB now iko smooth.

Ila siku budget ikikaa sawa, Hamia Apple M Series. Ukiwa na million 1.3-5 ukivizia vizuri unapata M1 macbook Air. Inazidi windows Laptop za million 2 plus.
NB: Kuvizia ni Ebay.
shukran sana
 
Mkuu hivi gen 11 kuna zinazokuja na Thunderbolt kweli...!?
Sema kitu chengine mkuu kama unataka thunderbolt kwa ajili ya Gpu ama kazi nyengine zinazo taka high bandwidth unaweza tumia M2 port ya ssd, kutegemea na pcie version inaweza kupa bandwidth kubwa kushinda hata thunderbolt, watu wanatumia pia kuchomeka Gpu, japo utahitaji adapter ya maana kusuply umeme.
 
Sema kitu chengine mkuu kama unataka thunderbolt kwa ajili ya Gpu ama kazi nyengine zinazo taka high bandwidth unaweza tumia M2 port ya ssd, kutegemea na pcie version inaweza kupa bandwidth kubwa kushinda hata thunderbolt, watu wanatumia pia kuchomeka Gpu, japo utahitaji adapter ya maana kusuply umeme.
Hapa umenipa pa kuanzia mkuu, ngoja nifanye Research zaidi, shukrani.
Ukifanikiwa inakua njema sana unakua huna haja ya kuwa na Computer mbili af zote windows.
 
Chukua laptop piga kazi. Acha maneno mengi, utajipoteza. Watu tunapiga kazi na tulianza kwa kuambiwa kanunue laptop uje hapa uanze kazi mara moja. Bila specifications zote hizo.
 
Chukua laptop piga kazi. Acha maneno mengi, utajipoteza. Watu tunapiga kazi na tulianza kwa kuambiwa kanunue laptop uje hapa uanze kazi mara moja. Bila specifications zote hizo.
sawa mkuu nimekusoma
 
Back
Top Bottom