Ubora unaosemwa wa Feisal haujawahi kuvuka mipaka ya Tanzania

Ubora unaosemwa wa Feisal haujawahi kuvuka mipaka ya Tanzania

man dunga

JF-Expert Member
Joined
Oct 13, 2013
Posts
3,358
Reaction score
5,783
Ukianza na AFCON ambayo aliaminiwa sana na Amunike lakini alizingua sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.

Ukija kwa Rivers UTD mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.

Mechi ya juzi dhidi ya Al Hilal hakuna mwendo wowote wa maana aliyofanya.

Itakuwa hajitambui, yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
 
Ukianza na Afcon ambayo aliaminiwa Sana na Amunike lakini alizingua Sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema Sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.

Ukija Kwa rivers utd mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.

Mechi ya juzi dhidi ya Al hilal hakuna movement yoyote ya maana aliyofanya.

Itakuwa hajitambui yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
Huyu mpemba akishaifunga simba hataki tena kujichosha
 
Ukianza na AFCON ambayo aliaminiwa sana na Amunike lakini alizingua sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.

Ukija kwa Rivers UTD mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.

Mechi ya juzi dhidi ya Al Hilal hakuna mwendo wowote wa maana aliyofanya.

Itakuwa hajitambui, yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
Ipo siku wana yanga watamchoka inampasa ajitutumue
 
Ukianza na AFCON ambayo aliaminiwa sana na Amunike lakini alizingua sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.

Ukija kwa Rivers UTD mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.

Mechi ya juzi dhidi ya Al Hilal hakuna mwendo wowote wa maana aliyofanya.

Itakuwa hajitambui, yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
Feisal ni kama Yanga tu timu ambayo inasemekana ni bora Tanzania ila nje ya mipaka ya Tanzania haijulikani na nasikia CAF sijui huko ni ya sabini na kitu
 
Naye yule dogo kufunga vigoli viwili vya mbali tu ndio imekuwa gumzo kiasi hiki?

Kwanza ni mbahatishaji anatembea na upepo, kila anapopata mpira hata akiwa center ya uwanja anataka apige shuti.

Ni kongole kwake na anapaswa kusherekea tuzo ya msimj kulingana na kiwango cha msimu (sio cha kudumu)

Ila at least huyu kidogo hata nikiona wana Yanga wanamshangilia naweza nikasema wana hoja ya msingi.

Ila yule aliyemaliza pesa za pre season ya uturuki na kuwafanya wananchi wakae Kigamboni sijawahi kumuelewa
 
Ukapimwe akili, Taifa Stars kaishafunga goli za kutosha
 
Ukiachana na tunguri , uto ina wachezaji wa kucheza mechi za NBC PL tu ambazo unakuta jiesiemu ameshalainisha mambo kwa bahasha ya khaki kwa wachezaji wa timu pinzani.

Sent from my Infinix X612 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom