Huyu mpemba akishaifunga simba hataki tena kujichoshaUkianza na Afcon ambayo aliaminiwa Sana na Amunike lakini alizingua Sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema Sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.
Ukija Kwa rivers utd mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.
Mechi ya juzi dhidi ya Al hilal hakuna movement yoyote ya maana aliyofanya.
Itakuwa hajitambui yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
Ipo siku wana yanga watamchoka inampasa ajitutumueUkianza na AFCON ambayo aliaminiwa sana na Amunike lakini alizingua sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.
Ukija kwa Rivers UTD mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.
Mechi ya juzi dhidi ya Al Hilal hakuna mwendo wowote wa maana aliyofanya.
Itakuwa hajitambui, yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
Feisal ni kama Yanga tu timu ambayo inasemekana ni bora Tanzania ila nje ya mipaka ya Tanzania haijulikani na nasikia CAF sijui huko ni ya sabini na kituUkianza na AFCON ambayo aliaminiwa sana na Amunike lakini alizingua sana, akawa anaruka ruka tu, nakumbuka mechi moja alitolewa mapema sana na Mkude aliingia kutuliza dimba.
Ukija kwa Rivers UTD mechi zote mbili hakuna cha maana alichofanya zaidi ya kuruka ruka.
Mechi ya juzi dhidi ya Al Hilal hakuna mwendo wowote wa maana aliyofanya.
Itakuwa hajitambui, yaani hajui mechi zipi za kukaza ili kujiuza au uwezo wake ndio huo mdogo. Samatta pamoja na kuchachafya ligi ya ndani lakini mechi iliyomuuza ni mechi moja tu dhidi ya TP Mazembe mechi ya CAF.
Kuna timu zilimuhitaji Yanga wakamuozesha mke wa pili na zawadi ya royal crown athlete ili abaki mzenj akaridhika bila kujua kuwa mpira wake unaisha taratibu akiwa anazeekea hapo jangwaniIpo siku wana yanga watamchoka inampasa ajitutumue
Ata jua hajui.Kuna timu zilimuhitaji Yanga wakamuozesha mke wa pili na zawadi ya royal crown athlete ili abaki mzenj akaridhika bila kujua kuwa mpira wake unaisha taratibu akiwa anazeekea hapo jangwani
Tungekuwa Afcon ama😳Ukapimwe akili, Taifa Stars kaishafunga goli za kutosha