Majigo
JF-Expert Member
- Feb 23, 2012
- 5,519
- 1,828
Kwa Wale Wanaojaribu kutumia Bidhaa Za Nje Kama Mimi, Watakubali Hili
Chukua COCACOLA YETU NA ILE Ya MALAWI
Au Tumia CHUMVI YETU na Ile Ya KENYA
Ukiona Haitoshi
Tafuta Dawa Ya Mswaki Ya Kibongo Na Ile Ya BOTSWANA
Alafu Kama Vp Gusa ile Mivinywaji Ya AZAM NA wenzie ...Heheheheheh...Hatari Tupu Ilo Povu Na Ukakasi Wake, Hata Ukimwagia Chura...Hayapiti Masaa, Atakuwa RIP
Na Ndio Maana Mayai Ya Kuku Wa Kisasa Wa Kibongo ukipika Utazani Ugali, Kwa Jinsi Yalivyo Na Mpauko Wa Kukosa Virutubisho.
Chukua COCACOLA YETU NA ILE Ya MALAWI
Au Tumia CHUMVI YETU na Ile Ya KENYA
Ukiona Haitoshi
Tafuta Dawa Ya Mswaki Ya Kibongo Na Ile Ya BOTSWANA
Alafu Kama Vp Gusa ile Mivinywaji Ya AZAM NA wenzie ...Heheheheheh...Hatari Tupu Ilo Povu Na Ukakasi Wake, Hata Ukimwagia Chura...Hayapiti Masaa, Atakuwa RIP
Na Ndio Maana Mayai Ya Kuku Wa Kisasa Wa Kibongo ukipika Utazani Ugali, Kwa Jinsi Yalivyo Na Mpauko Wa Kukosa Virutubisho.