KAGAMEE JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 4,457 Reaction score 5,454 Jan 26, 2014 #1 Hivi kati ya vyuo vikuu Tanzania ni chuo gani kina malecturer wenye ubora wa chini kabisa?
Lusungo JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 28,259 Reaction score 41,416 Jan 26, 2014 #2 KAGAMEE said: Hivi kati ya vyuo vikuu Tanzania ni chuo gani kina malecturer wenye ubora wa chini kabisa? Click to expand... wa chuoni kwenu
KAGAMEE said: Hivi kati ya vyuo vikuu Tanzania ni chuo gani kina malecturer wenye ubora wa chini kabisa? Click to expand... wa chuoni kwenu
KAGAMEE JF-Expert Member Joined Dec 20, 2013 Posts 4,457 Reaction score 5,454 Jan 26, 2014 Thread starter #3 lusungo said: wa chuoni kwenu Click to expand... sina chuo?
Ngongongare Member Joined Jan 16, 2014 Posts 48 Reaction score 18 Jan 26, 2014 #4 KAGAMEE said: sina chuo? Click to expand... Hawa wenye elimu ya darasa la nne la zamani??????????
Lusungo JF-Expert Member Joined Jan 4, 2014 Posts 28,259 Reaction score 41,416 Jan 26, 2014 #5 KAGAMEE said: sina chuo? Click to expand... kwahiyo? ulitaka kujua ili iwaje? pilipili usiyoila yakuwashia nini?
KAGAMEE said: sina chuo? Click to expand... kwahiyo? ulitaka kujua ili iwaje? pilipili usiyoila yakuwashia nini?
AfricaUnited JF-Expert Member Joined Jul 31, 2010 Posts 2,367 Reaction score 1,293 Jan 26, 2014 #6 Malecture wote wapo kwenye viwango,ila wanatofautiana viwango.ila wooote wapo kwenye ubora unaohitajika,ndio maana wameajiriwa
Malecture wote wapo kwenye viwango,ila wanatofautiana viwango.ila wooote wapo kwenye ubora unaohitajika,ndio maana wameajiriwa