Ubora wa mbolea ya fomi Otesha

Ubora wa mbolea ya fomi Otesha

GEBA2013

JF-Expert Member
Joined
Feb 22, 2014
Posts
4,880
Reaction score
6,047
Nilienda kununua mbolea ya ruzuku nikakutana na hi mbolea ya fomi otesha.sikuwahi kutumia na taget yangu ilikuwa dap na nimeikosa,ikabidi nichukue fomi otesha. hi mbolea kwnye mfuko wake imeandikwa 4natengnezwa dodoma kwa wale ambao mmebahatika kuchukua na kutumia vp ubora wake ukoje?nawakaribisha kwa mchango wenu
 
HUKU HAKUNA WAKULIMA AU HAKUNA ALIYEWAHI KUTUMIA HI MBOLEA
 
Back
Top Bottom