Walisema viti vinabadilishwa kwenye ile bil 30 ioa naona vile vile tuPale watu walisha gawana pesa za Kampeni, Mama kavuta zake za kutosha, wajinga sana nyie
Kazi ya mzee mpili leo imelipa..mzee wa ovyo yule.!Jamani jamani pamoja na mahela yote tunasikia yakitangazwa uwanja kufanyiwa maboresho ni sawa na hamna kitu ya ile pitch pakinyesha mvua tuu maji yanatuama uwanja matope na kuteleza tunaweka afya za watu lehani kimzaha mzaha tuu.
Kapombe Leo ameurunda na viatu vyake vyenye srubu.Jamani jamani pamoja na mahela yote tunasikia yakitangazwa uwanja kufanyiwa maboresho ni sawa na hamna kitu ya ile pitch pakinyesha mvua tuu maji yanatuama uwanja matope na kuteleza tunaweka afya za watu lehani kimzaha mzaha tuu.