kambale mnene
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 271
- 197
Huko Yanga wenye akili timamu ni Sunday Manara na Mzee JK tu waliobakia wote ni hamnazounatazama mpira au ni hisia na ujinga wako? Maana St. wanacheza vizuri
Kibonde kabeba makombe ma3, MBUMBUMBU 0 [emoji16]Vipers ilionekana bora kwa ukibonde wa Yanga
Kumbe unajitekenya mwenyewe!Naangali hii mechi, nauona ubora wa Simba unatokana na hawa waithiopia kuwa wabovu.
Timu inatembelea jina tu siyo bora kama ile tunayoifahamu.
Simba ni ileile iyopita haina jipya
Nipo nawaangalia waliokwenda misri kuweka kambi,,simba wanayo safari ndefu kwa hii timu yao,,majibu watayapata jumamosi kama wako bora ama laah, acha waendelee kujidanganya kwa mpira huu ninaouona wanacheza wacha tusubiliNaangali hii mechi, nauona ubora wa Simba unatokana na hawa waithiopia kuwa wabovu.
Timu inatembelea jina tu siyo bora kama ile tunayoifahamu.
Simba ni ileile iyopita haina jipya
Sema yote lakini juzi mumefumuliwaKibonde kabeba makombe ma3, MBUMBUMBU 0 [emoji16]
Vipers walicheza na vibonde wa soka wakawafumua viwiliSimba anacheza na vibonde wa soka
Nakuapia, yanga mtazimia tar 13Tarehe 13 mtanyamaza tu
KitulizeNaangali hii mechi, nauona ubora wa Simba unatokana na hawa waithiopia kuwa wabovu.
Timu inatembelea jina tu siyo bora kama ile tunayoifahamu.
Simba ni ileile iyopita haina jipya
Mi Yanga ila simba leo walicheza kiwango mno. Sisi Yanga tulichezewa na viperNaangali hii mechi, nauona ubora wa Simba unatokana na hawa waithiopia kuwa wabovu.
Timu inatembelea jina tu siyo bora kama ile tunayoifahamu.
Simba ni ileile iyopita haina jipya
Unahasira na Vipers heeeeeNipo nawaangalia waliokwenda misri kuweka kambi,,simba wanayo safari ndefu kwa hii timu yao,,majibu watayapata jumamosi kama wako bora ama laah, acha waendelee kujidanganya kwa mpira huu ninaouona wanacheza wacha tusubili