MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Matako marefu kivipi mkuu?Haya magari yenye matako marefu hayajawahi nibariki kabisa.
Bei full inacheza ngap mkuuNdugu wataalamu na wazoefu wa magari hususan Subaru Exiga toleo la 2010 naomba kufahamu ubora, uimara na changamoto za gari hii katika suala zima la maintenance, ulaji wa mafuta na vitu vingine kama vipo. Gari hii ni ile yenye 1990cc engine.
Upatikanaji wa spea zake na mafundi wanaoziwezea hapa Tanzania.
Kwa mwonekano na idadi yake ya siti (7) imekonga moyo wangu ukizingatia ukubwa wa familia zetu za kigogo nikaona hii inaweza nifaa sana kubeba familia nzima na kwenda kula bata.
View attachment 2073483
View attachment 2073484
View attachment 2073485
Milioni 7 hadi 8 inafika bongo.Bei full inacheza ngap mkuu
Nafikiri inategemea ni ya mwaka gani na Imetembea km ngpMilioni 7 hadi 8 inafika bongo.
Kinachobaki usajili na mambo mengine hivyo inaweza chukua si zaidi ya m 16
Anamaanisha gari ndefu hivoMatako marefu kivipi mkuu?
Imerudi sana nyuma.Matako marefu kivipi mkuu?
Gari zuri sana ndani we nunua tuNdugu wataalamu na wazoefu wa magari hususan Subaru Exiga toleo la 2010 naomba kufahamu ubora, uimara na changamoto za gari hii katika suala zima la maintenance, ulaji wa mafuta na vitu vingine kama vipo. Gari hii ni ile yenye 1990cc engine.
Upatikanaji wa spea zake na mafundi wanaoziwezea hapa Tanzania.
Kwa mwonekano na idadi yake ya siti (7) imekonga moyo wangu ukizingatia ukubwa wa familia zetu za kigogo nikaona hii inaweza nifaa sana kubeba familia nzima na kwenda kula bata.
View attachment 2073483
View attachment 2073484
View attachment 2073485
Sasa 16m huo uchafu ya nn?Milioni 7 hadi 8 inafika bongo.
Kinachobaki usajili na mambo mengine hivyo inaweza chukua si zaidi ya m 16
Family car. Ni hayo tu kwa Leo.Ndugu wataalamu na wazoefu wa magari hususan Subaru Exiga toleo la 2010 naomba kufahamu ubora, uimara na changamoto za gari hii katika suala zima la maintenance, ulaji wa mafuta na vitu vingine kama vipo. Gari hii ni ile yenye 1990cc engine.
Upatikanaji wa spea zake na mafundi wanaoziwezea hapa Tanzania.
Kwa mwonekano na idadi yake ya siti (7) imekonga moyo wangu ukizingatia ukubwa wa familia zetu za kigogo nikaona hii inaweza nifaa sana kubeba familia nzima na kwenda kula bata.
View attachment 2073483
View attachment 2073484
View attachment 2073485
Imekaa unonoNdugu wataalamu na wazoefu wa magari hususan Subaru Exiga toleo la 2010 naomba kufahamu ubora, uimara na changamoto za gari hii katika suala zima la maintenance, ulaji wa mafuta na vitu vingine kama vipo. Gari hii ni ile yenye 1990cc engine.
Upatikanaji wa spea zake na mafundi wanaoziwezea hapa Tanzania.
Kwa mwonekano na idadi yake ya siti (7) imekonga moyo wangu ukizingatia ukubwa wa familia zetu za kigogo nikaona hii inaweza nifaa sana kubeba familia nzima na kwenda kula bata.
View attachment 2073483
View attachment 2073484
View attachment 2073485
Umeshaambiwa ni model ya 2010. Kilichabaki ni milage na unaagiza kupitia kampuni ipi. Iwapo ni kampuni ya Be Forward bei huenda ikawa chini kidogo kwani wao huuza gari kama waivyoinunua. Hawaifanyii marekebisho yeyote. Lakini ikiwa ni Autorec bei huenda ikapanda kwani wanaifanyia maboresho kabla ya kuiuza.Nafikiri inategemea ni ya mwaka gani na Imetembea km ngp