Kabla ya matumizi ya sukari iliyoletwa na wafanyabiashara kwa njia ya vibali walitakiwa TMDA watoke hadharani kuwaelezea wananchi kuwa sukari hiyo iliyoletwa ni salama kwa matumizi ya binadamu.
Taarifa hii mpaka leo haijatolewa na Mamlaka husika na wako kimya jambo ambalo linaleta wasiwasi kuwa sukari hii muda wake ulikwishapita.
Mwaka jana nchi ya jirani ya Kenya kuna sukari iliyoletwa nchini humo na muda wake ulikwishapita na baada ya Serikali kugundua hilo ilibidi ile sukari imwagwe baharini.
Tuwe tunapewa taarifa na mamlaka husika kuhusu ubora ya vyakula tunavyoletewa kutoka nje.
Ninaiomba TMDA itoke hadharani na kuihakikishia umma kuwa sukari iliyoletwa kwa vibali ilikuwa salama kwa matumizi ya binadamu vinginevyo hatutawaelewa.
Taarifa hii mpaka leo haijatolewa na Mamlaka husika na wako kimya jambo ambalo linaleta wasiwasi kuwa sukari hii muda wake ulikwishapita.
Mwaka jana nchi ya jirani ya Kenya kuna sukari iliyoletwa nchini humo na muda wake ulikwishapita na baada ya Serikali kugundua hilo ilibidi ile sukari imwagwe baharini.
Tuwe tunapewa taarifa na mamlaka husika kuhusu ubora ya vyakula tunavyoletewa kutoka nje.
Ninaiomba TMDA itoke hadharani na kuihakikishia umma kuwa sukari iliyoletwa kwa vibali ilikuwa salama kwa matumizi ya binadamu vinginevyo hatutawaelewa.