ikongoc
JF-Expert Member
- Jan 13, 2018
- 325
- 312
Kwa kweli nipende kulipongeza shilikisho la mpira wa miguu Tanzania kwa kushirikiana na Azam Media group
Viwanja kwa upande wa Tanzania bara [NBC PL] Vinarizisha kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na ligi nyingine ni sahihi kabisa ligi yetu kuwa namba sita kwa ubora
Huu ni uwanja unaochezewa na ligi kuu kenya
Viwanja kwa upande wa Tanzania bara [NBC PL] Vinarizisha kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na ligi nyingine ni sahihi kabisa ligi yetu kuwa namba sita kwa ubora
Huu ni uwanja unaochezewa na ligi kuu kenya