Kwa kweli nipende kulipongeza shilikisho la mpira wa miguu Tanzania kwa kushirikiana na Azam Media group
Viwanja kwa upande wa Tanzania bara [NBC PL] Vinarizisha kwa kiwango kikubwa ukilinganisha na ligi nyingine ni sahihi kabisa ligi yetu kuwa namba sita kwa ubora
Huu ni uwanja unaochezewa na ligi kuu kenya