Blue Bahari
JF-Expert Member
- Aug 21, 2016
- 1,851
- 2,171
Wakuu mambo vipi!
Leo natua kwenu kama mgeni wa jukwaa hili (sababu sijawahi post kuhusu masuala ya burudani).
Niende moja kwa moja kwenye mada, hoja yangu ninayoiwasilisha kwenu inamuhusu mwanadada machachari kabisa kuwahi kuwepo ktk tasnia ya music hapa Africa.
Licha ya kipaji chake alichokua nacho, lakini cha ajabu binafsi nimeshangaa sana kutokuona ktk tovuti mbali mbali zikimuelezea kama ni mmojawapo wa mwanamziki bora wa kike kuwahi kuwepo Africa. Wanamziki wa kike wanaouzungumzwa (kwamba "the greatest") ktk mitandao, kwangu Mimi naona kuna wengi ambao hawamfikii Yondo Sister lakini tovuti hizo zinawazungumzia wengine kama vile Mbilie Bell, Miriam Makeba, Brenda, n.k.
Licha ya ukweli kwamba kuna style mbali mbali za mziki, lakini hoja yangu inajumuisha vipaji ktk style zote kwa wanawake. Na ukiingia Wikipedia, wanamtanabaisha kama ndiye Queen of Kwasa Kwasa & Lumba. Sasa kama yeye ndiyo malkia wa miondoko hiyo, kwa nini ktkt tovuti mbali mbali hawamtaji kama ni mwanamziki wa kike bora kabisa kuwahi kutokea Africa?
Wewe mdau wa mziki una lipi la kuzungumza juu ya mwanamama huyu?
Leo natua kwenu kama mgeni wa jukwaa hili (sababu sijawahi post kuhusu masuala ya burudani).
Niende moja kwa moja kwenye mada, hoja yangu ninayoiwasilisha kwenu inamuhusu mwanadada machachari kabisa kuwahi kuwepo ktk tasnia ya music hapa Africa.
Licha ya kipaji chake alichokua nacho, lakini cha ajabu binafsi nimeshangaa sana kutokuona ktk tovuti mbali mbali zikimuelezea kama ni mmojawapo wa mwanamziki bora wa kike kuwahi kuwepo Africa. Wanamziki wa kike wanaouzungumzwa (kwamba "the greatest") ktk mitandao, kwangu Mimi naona kuna wengi ambao hawamfikii Yondo Sister lakini tovuti hizo zinawazungumzia wengine kama vile Mbilie Bell, Miriam Makeba, Brenda, n.k.
Licha ya ukweli kwamba kuna style mbali mbali za mziki, lakini hoja yangu inajumuisha vipaji ktk style zote kwa wanawake. Na ukiingia Wikipedia, wanamtanabaisha kama ndiye Queen of Kwasa Kwasa & Lumba. Sasa kama yeye ndiyo malkia wa miondoko hiyo, kwa nini ktkt tovuti mbali mbali hawamtaji kama ni mwanamziki wa kike bora kabisa kuwahi kutokea Africa?
Wewe mdau wa mziki una lipi la kuzungumza juu ya mwanamama huyu?