Ubora wa zege "ready-made"

Ubora wa zege "ready-made"

fabinyo

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2011
Posts
3,042
Reaction score
2,221
Wakuu bila shaka mpo salama. Siku hizi naona kuna hii biashara ya kuuza/kununua zege..
1. Hivi ubora wake huwa ukoje?Mteja unauhakiki vipi ubora kukidhi mahitajio yake maana linaletwa na gari tayari likiwa limetengezwa hukoooo...Tumezoea zamani,zege linakorogwa hapo hapo na unaona mchanganyiko kadiri ya hesabu za mhakiki viwango zilivyo.
2. Je mteja anajuaje ujazo (volumes)/kiasi anacholetwa ndio sahihi kwa gharama alizolinunua?Kiasi cha chini kununua ndio kipi?
3. Pia bei yake ikoje,yaani mnapatanaje na muuzaji?kama ni kwa sqm/vols,bei ndio zikoje?
4.Inapunguza gharama kwa mteja ukilinganisha na lilivyokuwa lina korogwa "on site".
5. Mnanofanya biashara hii,inawalipa?

Kama kuna maelezo ya ziada pia,tafadhali tunaomba wajuvi mtuelimishe,itufae.
Asante
 
Kwanini uopt premix hiyo ni costly zaidi kama unajenga nyumba ya kawaida. Just nunua zege sementi mchanga kodi mixer wamix site it's less costly. Niliwahi kuwa kwenye dilemma kama yako. Niliwapigia tembo blox quotation waliyonipa per trip ilikuwa double the ordinary cost ya mixing ya hapohapo site.
Pia ubora hauko guaranteed, kupigwa ni rahisi. Go for it kama una ujenzi mkubwa 2flr etc
 
Bei inategemea na ubora wa zege. Zege bora zaidi ni ile yenye cement kali ambayo ni m25. Zege hafifu zaidi ni ile ya m5.

images (7).jpeg
 
Kwanini uopt premix hiyo ni costly zaidi kama unajenga nyumba ya kawaida. Just nunua zege sementi mchanga kodi mixer wamix site it's less costly. Niliwahi kuwa kwenye dilemma kama yako. Niliwapigia tembo blox quotation waliyonipa per trip ilikuwa double the ordinary cost ya mixing ya hapohapo site.
Pia ubora hauko guaranteed, kupigwa ni rahisi. Go for it kama una ujenzi mkubwa 2flr etc
Asante kwa maelezo mazuri. na ushauri
 
Bei inategemea na ubora wa zege. Zege bora zaidi ni ile yenye cement kali ambayo ni m25. Zege hafifu zaidi ni ile ya m5.

View attachment 2601123
M25 ni 1:1:2, kuna grade ambazo ratio ya cement inaizidi ratio ya mchanga mfano M40 ni 1:0.25:0.5 sawa na mfuko mmoja wa cement unachanganya na ndoo ndogo moja ya mchanga na ndoo kubwa moja ya kokoto
 
Back
Top Bottom