Uboreshaji wa daftari la mpiga kura Maruhani watakuwa wengi

Uboreshaji wa daftari la mpiga kura Maruhani watakuwa wengi

Rutechula

JF-Expert Member
Joined
Jun 19, 2024
Posts
392
Reaction score
347
Leo nimeshuhudia watu wengi maeneo ya kisarawe wakijiandikisha na kupata vitambulisho vya kupiga kura bila utambulisho wa awali wa kuhakiki utanzania wao. Kama namba ya NIDA au hata utambulisho toka serikali ya mtaa.
Wahusika ebu lindemi uhalali wa uchaguzi wetu maana ninkwa ajili ya watanzania tuuu tena wenye sifa.
 
Back
Top Bottom